• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE YAJIPANGA KUKUSANYA MAPATO 100% KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

Imewekwa: August 14th, 2019

SIKONGE YAJIPANGA KUKUSANYA MAPATO 100% KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge yaendesha semina elekezi kwa Watendaji wa Kata na Vijiji iliyolenga kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka 87% iliyokusanywa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 hadi kufikia 100% kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Semina hiyo itakayofanyika kwa muda wa siku mbili (2) kuanzia tarehe 13 mpaka tarehe 14/8/2019 imeandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Bi. Martha Luleka ikiwa na lengo la kuweka mikakati ya pamoja kati ya utawala na watendaji hao itakayowezesha ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri ya Sikonge kufikia 100% sanjari na kubuni vyanzo mbalimbali vya mapato vitakavyotumika ili kufikia lengo hilo.

Pia semina hiyo iliwakutanisha watendaji pamoja na Viongozi mbalimbali Wilayani hapa na kufunguliwa na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Mhe. Peres Magiri aliyewataka watendaji hao kusimamia vyema vyanzo vya mapato katika kata wanazozitumikia kwani watendaji ndio msingi wa kusimamia mapato ndani ya Halmashauri ikiwa watajua vyema wajibu walionao.

Akiongea wakati wa Ufunguzi wa semina hiyo Mhe. Magiri alitolea mfano kuwa miradi mikubwa inayotekelezwa nchini, chini ya uongozi wa serikali ya awamu ya tano kwa asilimia kubwa imetokana na mapato ya ndani ya nchi ambayo yamesimamiwa vizuri ikiwemo kodi mbalimbali zilizokusanywa na kuwasilishwa kwa uaminifu. Aliongeza kuwa jambo hili limewezekana kutokana na kuwepo kwa nidhamu ya matumizi ya fedha. Hivyo basi amewataka watumishi wa Sikonge kuwa na nidhamu ya fedha pamoja na kuwasilisha mapato kwa uaminifu ili Halmashauri iweze kufikisha 100% iliyojiwekea.

Watendaji Kata na Vijiji wakifuatilia mafunzo toka kwa Mkurugenzi Bi. Martha Luleka aliyesimama.

Kuntu ya hayo pia mambo mbalimbali ya kimkakati yalijadiliwa katika semina hiyo huku Mbunge wa Sikonge, Mhe. Joseph Kakunda mbaye alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji akiwataka watendaji hao kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi ikiwemo kuzifahamu kero zinazowakabili wananchi wao na kuweka mbinu za utatuzi wa kero hizo kwa kuwashirikisha wananchi.

Wajumbe pia walipata wasaa wa kusikililiza salamu za Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo ziliwasilishwa na Mdau wa Maendeleo Ndugu. Jeff Kisangaye kutoka ofisi ya Rais Dawati la Siasa ambaye alisisitiza kuwa watendaji wajenge mahusiano mazuri na wadau watakaochangia maendeleo katika Kata na Wilaya kwa ujumla.

Aidha, wakati wa kuhitimisha semina elekezi Mkurugenzi Mtendaji, Bi. Martha Luleka aliwataka watendaji hao kuwa viongozi wenye kuleta matokeo chanya, huku akisisitiza kuwa hawatakubali kuwa wa mwisho kimapato hivyo wanasikonge wote waungane kupambana kimaendeleo mpaka mafanikio yapatikane.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa