• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE KUJIPATIA HOSPITALI YA WILAYA

Imewekwa: April 23rd, 2019

SIKONGE KUJIPATIA HOSPITALI YA WILAYA.

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya    Wilaya ya Sikonge Bi. Martha Luleka  atembelea ujenzi wa jengo la Hospitali ya Wilaya ya Sikonge

Ikiwa ni ziara yake ya mara kwa mara katika mradi huo awamu hii Bi. Martha alikutana na baadhi ya mafundi ambao alizungumza nao kuhusu mambo mbali mbali yanaokabili ujenzi wa Hospitali hiyo lakini kubwa kuliko likiwa ni namna mafundi wanavyoweza kukamilisha kazi zao kwa wakati

Alipokuwa akikagua jengo la mama na mtoto Mkurugenzi alizungumza na fundi Alphonce Mtewa ambaye pia ndio msimamizi wa jengo hilo ambapo alishauriwa kuongeza idadi ya mafundi na wasaidizi kwani kutumia rasilimali watu ndogo inachelewesha kazi na pia ni utumiaji wa garama kubwa na upotezaji wakati. Fundi huyo aliahidi kufanyia kazi agizo hilo

Sanjari na hayo pia kwenye jengo la madawa injinia Rajabu Ismail aliahidi kuonesha mabadiliko makubwa ili kuendana na kasi ya muda. Akipokea ushauri uliotolewa na Mkurugenzi pia aliomba kupewa siku mbili kuukamilisha msingi na kuinua jengo.

Bi. Martha pia alitoa pongezi kwa mafundi kutokana na moyo wao wa kujituma kwani baadhi yao walikutwa wakifanya kazi hadi usiku, jambo lililoonesha kuwa kweli wana uzalendo na nchi yao na pia baadhi wamekuwa wakijitolea kusogeza tofari eneo la jengo bila malipo yeyote.

Ikumbumbukwe kuwa Wilaya ya Sikonge ilipokea shilingi za kitanzania Bil. 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ambapo kwa hatua ya kwanza yanategemewa kujengwa majengo saba. Hii ikiwa ni miongoni mwa utekelezaji wa ilani ya CCM ambayo pia ililenga kuboresha huduma za afya ambayo ni pamoja na kusogeza huduma hizo karibu na wananchi. Hivyo basi Wilaya ya Sikonge ni miongoni mwa Wilaya zitakazonufaika na jambo hilo.

IMETOLEWA NA 

           KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO(TEHAMA)

             SIKONGE.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa