• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SENSA YA MIFUGO HAIKWEPEKI

Imewekwa: April 18th, 2019

SENSA YA MIFUGO  NI MUHIMU.

Wafugaji waaswa kubadili mfumo wa ufugaji kuwa wa kisasa ili waweze kunufaika na mifugo wanayoihudumia.

Akizungumza na wananchi na wafugaji wa kata ya Ngoywa wilayani Sikonge, mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila alisema kuwa ufugaji wa sasa unahitaji kufuata njia za kitaalamu ili kuvuna mazao mengi ya mifugo ambayo ni Nyama na Maziwa kwani lengo ni kila mfugaji awe na maisha bora na mifugo bora yenye kuteka soko.

Akiongelea zoezi la Sensa ya mifugo Mhe. Nzalalila alisema kuwa zoezi hilo ni muhimu kwani litasaidia serikali kutenga maeneo sahihi kwa ajili ya kulishia mifugo. Hivyo basi wafugaji wanapashwa kuliunga mkono kwa jihudi zote.

Wananchi na Wafugaji wa Ngoywa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila.

Akichangia swala hilo Mtendaji wa Kata ya Ngoywa Bi. Sabina aliwaomba wakulima kubadilika na kuondoka na mila potofu ya kutoa idadi pungufu ya mifugo tofauti na idadi kamili ya mifugo waliyonayo kwani wamekuwa na utamaduni wa kuficha baadhi ya  mifugo wakiamini kwa kufanya hivyo watakwepa kuchangia michango mbali mbali ya mifugo yao.

Naye Afisa Mifugo Wilaya Bwana Gerad Mwagalazi aliwahasa wafugaji kutoingiza siasa kwenye swala muhimu kama sensa ya Mifugo nakwani ni kwaajili ya maendeleo yao aliongeza, “mfugo unataka eneo Fulani kwa mwaka tuupe haki yake kwa kutoa takwimu halisi” akisisitizia hilo pia alisema kuwa serikali itakapowapangia wafugaji maeneo ya kulishia itategemeana na takwimu zilizotoleawa. Huku akisema kuwa lengo la serikali ya awamu ya tano ni zuri na linalenga kusaidia makundi yote ambayo yalikuwa yamesahaulika kipindi cha nyuma hivyo basin a wafugaji waiunge mkono.

Mbali na kutoa elimu pia alikemea kitendo kinachofanya na baadhi ya wafugaji kuingiza mifugo ndani ya hifadhi kwani watakapobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kupigwa faini. Ambapo wafugaji walikubali kushiriki sense huku wakiahidi kuwahamasisha na wengine ambao hawakushiriki kikao hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa