• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

RC BATILDA AWAONGOZA WATALII KATIKA VIVUTIO NA MAENEO YA KIHISTORIA MKOANI TABORA -KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.

Imewekwa: October 16th, 2022



TABORA


Na.Anna Kapama


Utalii umefanyika katika maeneo mbalimbali ya Vivutio na ya kihistoria Mkoa wa Tabora ambapo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Balozi.Dkt. Batilda Buriani na watalii wengine wamefika katika Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Tabora(TABORA BOYS) ambapo Rais wa Kwanza wa Tanzania Hayati Mwalimu J.K Nyerere alisoma hapo na kuoneshwa ramani ya Tanzania na maeneo ambayo Baba wa Taifa hili alifika.


Aidha,Balozi Batilda na watalii wengine wamefika katika Chuo Cha Nyuki na kujionea Jinsi ya Ufugaji wa Nyuki Mchakato wa usindikaji wa Mazao ya Nyuki, pamoja na kutembelea katika bustani ya wanyama Pori ya Tabora(Tabora zoo) , Tembe la Ukumbusho wa Dr Livingston ambapo maeneo yote hayo watalii wameweza kupata Elimu ya kutosha pamoja na kuangalia Vivutio vilivyopo.


Katika Mnara wa kumbukumbu ya uamuzi wa Busara(Azimio la Tabora) wa Mwaka 1958 uliofanyika Mjini Tabora ambao ulikuwa ni Uchaguzi wa kwanza na kura tatu zilipigwa yaani wazungu, waarabu na Waafrika ,mahali ambapo Mwalimu J.K.Nyerere alihutubia wananchi katika Soko kuu la Tabora Mjini kwa hisia na kuangua kilio akiwaeleza madhila ya Ukoloni ambapo Chama Cha TANU kilishinda viti 28 kati 30 na wagombea wa TANU walishinda dhidi ya wapinzani wa UTP na ANC.


Aidha,baada ya utalii wa Mjini Tabora Msafara wa watalii utaelekea katika Uwanja wa Kolimba Wilayani Kaliua ambapo Mkuu wa Mkoa wa Tabora ataitambulisha Filamu iitwayo THE ROYAL TOUR iliyochezwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kisha kutazamwa na Wananchi wote.


#theroyaltour

#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa