• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

RC BALOZI BURIANI AUAGIZA UONGOZI WILAYANI SIKONGE KUWAONDOA WATOTO WANAOISHI ENEO HATARISHI KATIKA MGODI WA KITUNDA.

Imewekwa: September 17th, 2021


RC BALOZI BURIANI AUAGIZA UONGOZI WILAYANI SIKONGE KUWAONDOA WATOTO WANAOISHI ENEO HATARISHI KATIKA  MGODI WA KITUNDA.
Na.Anna Kapama
MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani ameuagiza uongozi wa Wilaya ya Sikonge kuwaondoa watoto wanaoishi katika eneo la uchimbaji madini Kitunda baada ya kubaini kuwa wameanzisha kibanda na kufundisha watoto hao katika eneo hatarishi kwa usalama wao.Balozi Dkt. Batilida ameyasema hayo  baada ya kutembelea eneo hilo kwa ajili ya kujionea  Kibanda kilichojengwa katika eneo la Mgodi kwa kutaka kukigeuza Shule ya Msingi  kinyume na utaratibu wa kuanzisha shule na kuongeza kuwa  Kibanda hicho kilipojengwa ni hatari kwa afya za watoto kwa kuwa kipo karibu eneo la kuchanganyia kemikali kwa ajili ya kuchenjulia dhahabu na pembeni yake kuna shimo lenye maji yenye kemikali hatari zinatumika kusafishia dhahabu ambazo ni hatari kwa maisha ya bianadamu.
Aidha Balozi  Dkt Batilda amesema  hakuna sababu ya kuanzisha kibanda hicho mgodini kwani kuna eneo la kijiji ambalo wangeazisha shule kwa kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inatoa shilingi milioni 900 kila mwezi kwa ajili ya elimu bure  Mkoani  Tabora.
Katika hatua nyingine Balozi Dkt. Batilida ameuagiza uongozi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) kukagua maeneo yote ya misitu inayopo wilayani hapo ili kuhakikisha hakuna wananchi wanaoishi na kuendesha shughuli za kibinadamu kinyume cha Sheria  huku  akiwaagiza Ofisi ya Madini kukagua  migodi yote ya Mkoa wa Tabora ili kuhakikisha hakuna vitendo ambavyo vinakiuka sheria na  taratibu za uchimbaji madini.Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo amesema wameanza kuchukua hatua stahiki kuhakikisha watoto wote wanaondolewa eneo hilo na kuwapeleka katika kijiji jirani ili wapate elimu kwenye mazingira salama.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa