• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

RAS AKAGUA HOSPITALI YA SIKONGE.

Imewekwa: May 2nd, 2019

RAS AKAGUA HOSPITALI YA SIKONGE

KATIBU tawala wa Mkoa wa Tabora Msalika Makungu atembelea ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Sikonge ili kujiridhisha namna ujenzi unavyofanyika.

Akiwa katika jengo la  mama na mtoto Msalika alishauri mafundi kuongeza nguvu kazi ikiwemo muda wa kufanya kazi ili kufikia muda uliowekwa na TAMISEMI, aliongeza  pia ni lazima wazingatie vipimo vilivyotolewa sanjari na kutumia busara ili kutopoteza uhalisia wa ramani iliyochorwa.

Katika ziara yake ambayo aliambatana na wataalamu mbalimbali kutoka mkoani ambapo Injinia Siro Mrioka alisema kuwa ni vizuri kazi inavyofanyika huku akitoa baadhi ya maelekezo na kushauri mafundi kufanya kazi kwa kutumia mpango kazi.

Juu ya swala hilo Katibu Tawala alielekeza kuwa Wilaya inaweza kutumia majeshi kama njia mbadala ili  kuongeza nguvu kazi ambapo alitaja jeshi la magereza kuwa linaweza kusaidia katika kazi hiyo huku akizidi kusisitiza juu ya ushirikiano kati watu wa manunuzi na injinia wa mradi ili kubaini vifaa vinavyohitajika na kuvifanyia kazi upatikanaji wake.

Sanjari na hayo Injinia wa TARURA, Filbert Mpalasinge alisema kuwa wamefanya marekebisho kwenye jengo la mionzi kulingana na maelekezo yalivyotoka TAMISEMI ambapo yaliwataka kujenga kuta zenye ukubwa utakaoweza kuzuia mionzi kutopenya na kuwaathiri watu wengine.

RAS pamoja na msafara wake wakipata maelezo toka kwa injinia Mpalasinge juu ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.

Akipokea maelekezo Mkurugenzi Mtendaji (W) Bi. Martha Luleka alisema kuwa  Halmashauri ya Sikonge imefaanya kazi kwa ushirikiano huku akitaja kuwa miongoni mwa mambo wanayoyatekeleza ni kutumia mapato ya ndani katika kupata maji yanayotumika kuendeshea shuguli za ujenzi.

Pia aliwapongeza wadau mbali  mbali waliojitokeza kusaidia mradi huo, huku akiomba kufikiriwa kwa swala la maji, na umeme ambao haupo katika pesa iliyotolewa hivyo inailazimu Halmashauri kufanya kazi ya ziada kuhakikisha pesa hizo zinapatikana.

Naye Mkuu wa Wilaya Mhe. Peres Magiri alitoa shukrani zake kwa ugeni huo na kuahidi kuyatekeleza yale yote yaliyoelekezwa kwa kuhakikisha kazi zinafanyika kwa ubora na kukabidhi kazi kwa wakati.



IMETOLEWA NA KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)

SIKONGE.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa