• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

OFISI YA TAKWIMU TAIFA YATOA MAFUNZO YA USAMBAZAJI NA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI KWA VIONGOZI NA MAKUNDI MBALI MBALI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE.

Imewekwa: February 10th, 2024

Robert Magaka – Sikonge.

Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imeendesha mafunzo ya usambazaji na matumizi ya matokeo ya sensa ya watu na makazi kwa viongozi na makundi mbali mbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwanambuya Sikonge.

Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Salha Burian amesema mafunzo hayo yanalenga kutoa mrejesho wa kazi iliyofanyika nchi nzima iliyoanza kwa zoezi la anuani za makazi na baadaye sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022.

Matokeo ya Sensa ya watu na makazi yameonesha kuwa Mkoa wa Tabora unashika nafasi ya tatu kitaifa kwa kuwa na idadi kubwa ya watu 3,391,679 wanaume wakiwa 1,661,171 na wanawake 1,730.508.

Na kwa upande wa matokeo ya idadi ya watu Kiwilaya, Sikonge ina jumla ya watu 335,686 ikiwa wanaume ni 165,309 na wanawake 170,377.

Aidha Mhe. Burian ametoa wito kuwa Taarifa za sensa ya watu na makazi zitumike kwa ajili ya kuleta maendeleo ya watu katika maeneo yao. “Lengo la mafunzo haya ni kuwajengea watu uwezo wa kutafsiri na kuchambua na kuyatumia matokeo ya sensa katika kupanga,kutekeleza na kufuatilia tathmini ya utekelezaji wa sera na mipango yetu kwa muda mfupi,muda wa kati na muda mrefu” amesema Dkt. Burian.

Akimwakilisha Mtakwimu Mkuu wa Serikali Meneja Idara ya Mifumo ya Kijiografia Ofisi ya Takwimu Taifa Bw. Benedict Mugambi amesema Serikali imekamilisha kuandaa na kuzindua ripoti 11 za sensa ikiwa ni pamoja na matokeo ya mwanzo,ripoti hizi zimejikita katika mgawanyo wa idadi ya watu kwa maeneo ya kiutawala hadi ngazi ya kata au shehia katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ripoti ya mgawanyo wa idadi ya watu kwa majimbo ya uchaguzi Tanzania bara na Visiwani.

Akifunga mafunzo hayo Mhe. Dkt. Burian amepokea na kujibu baadhi ya hoja na Changamoto zilizowasilishwa na wanachi waliohudhuria mafunzo hayo na hoja zingine ameahidi Kwenda kuzifanyia kazi ikiwa ni pamoja na ombi la wanasikonge kuongezewa jimbo lingine la uchaguzi,uharibifu wa miundo mbinu ya Barabara na ukosefu wa maji safi na salama katika maeneo mengi ya Wilaya ya Sikonge.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa