• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

NENDENI MKATOE HUDUMA BORA KWA WANANCHI WA SIKONGE - DED. PANDAWE.

Imewekwa: October 22nd, 2024

Ofisi ya mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Sikonge imeendesha mafunzo kwa watumishi wa umma wa ajira mpya waliopangiwa kazi wilaya ya Sikonge.

Akifungua mafunzo hayo ya siku moja  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe amewaasa watumishi hao kuzingatia kanuni na maadili ya utumishi wa umma wakati wote wa maisha yao ya utumishi ndani na nje muda  wa saa za kazi na kuhakikisha wanatoa huduma bora na kwa wakati kwa wananchi wa Sikonge.

“Wekeni malengo,toeni huduma bora kwa wananchi  bila upendeleo,zingatieni sheria na haki katika utoaji wa huduma.Jengeni mahusiano mazuri mahala pa kazi na kuwa watiifi kwa serikali iliyopo madarakani.”Ameeleza Ndg. Pandawe.

Kw upande wake Katibu Tawala wilaya ya Sikonge Ndg. Andrea Ng’hwani amewapongeza watumishi hao kwa kupata nafasi ya kuajiriwa na kuwataka kufuata kanuni za utumishi na kuwa na moyo wa kujifunza wakati wote wanapokuwa watumishi wa umma na kuwa mstari wa mbele katika kusukuma gurudumu la  maendeleo ya wilaya ya Sikonge.

Mkuu wa divisheni ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu Ndg.  Nico Kayange amewasisitiza watumishi hao kuzingatia utunzaji wa  siri za serikali na kufuata sheria za utumishi wa umma kwa kuepuka kuwa wasemaji wa mambo ya serikali.

Naye mkuu wa divisheni ya elimu sekondari Bi. Kalista Maina amewaeleza watumishi hao wa ajira mpya hajawahi kutamani kuhama Sikonge kwa jinsi Sikonge ilivyo sehemu salama kwa utumishi waumma na kuwasihi kuwa na ushirikiano katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Mafunzo hayo yamejumuisha watumishi wa ajira mpya toka kada mbalimbali wakiwemo watendaji wa vijiji,watunza kumbukumbu,waandishi waendesha ofisi,maafisa ustawi wa jamii,maafisa habari,madereva,mkaguzi wa ndani, Afisa maendeleo ya jamii pamoja na watoa mada kutoka ofisi ya TALGWU mkoa wa Tabora na mwakilishi toka ofisi ya mfuko wa hifadhi ya jamii wa PSSSF mkoa wa Tabora. Mafunzo haya ni hatua muhimu katika kuhakikisha watumishi wanakuwa na uelewa mzuri wa majukumu yao na kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi wa Sikonge.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa