• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI SIKONGE.

Imewekwa: July 15th, 2021



MWENGE WA UHURU  WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI SIKONGE.
Na.Anna Kapama.
Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imepokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 ukitokea Urambo ambapo Mwenge huo umetembelea miradi mitatu  ikijumuisha Sekta ya viwanda, elimu na Maji.
Akiweka jiwe la msingi katika Kiwanda cha kati cha kuchakata na kufungasha mazao ya nyuki Wilayani Sikonge kiongozi wa Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru 2021  Luteni Josephine Mwambashi amepongeza kazi nzuri iliyofanywa na halmashauri hiyo na kuwasisitiza Wasimamizi wa miradi yote inayotekelezwa na serikali kuhakikisha viongozi wa ngazi za chini na jamii kwa ujumla wanashirikishwa ipasavyo ili kujua kinachofanywa na serikali yao.
Kiwanda hicho kimegharimu Sh.Milioni 757.6 katika hatua ya ukamilishaji wa ujenzi wa uzio, mashimo ya maji taka, mnara wa maji, kukamilisha mifumo ya huduma na ununuzi na usimikaji wa mitambo.
Aidha,Luteni Mwambashi amezindua mradi Ofisi za jengo la Uthibiti Ubora wa Elimu ambao umegharimu Sh.Milioni 152.1 na mradi huo umekamilika.Pia amezindua Mradi wa Usambazaji maji katika kijiji cha Kabanga mradi uliogharimu Sh.Milioni 245.3 hadi kukamilika kwake  na unawasaidia wananchi wa kijiji cha Kabanga kupata huduma ya maji kwa karibu zaidi.
Miradi yote ina thamani ya jumla ya Shilingi Bilioni 1.2 Kati ya fedha hizo kiasi cha Shilingi Milioni 37.9 ni mchango wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Shilingi Bilioni 1.1 ni mchango wa Serikali Kuu,huku Wananchi wakichangia Sh.  260,592.0
Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 wenye kauli mbiu"TEHAMA NI MSINGI WA TAIFA ENDELEVU ITUMIE KWA USAHIHI NA UWAJIBIKAJI"


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa