• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

“MWENENDO HUU WA MAKUSANYO UNARIDHISHA WATAALAM WETU ONGEZENI JITIHADA ZA KUKUSANYA MAPATO ILI TUFIKIE MALENGO TULIO JIWEKEA” MHE. MAGOPE.

Imewekwa: February 2nd, 2024

Na. Robert Magaka – Sikonge.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Rashid Maulid Magope ameongoza baraza la madiwani kwa siku ya pili katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

Akifungua baraza hilo Mhe. Magope amesema Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imejipanga kukusanya mapato ya ndani kiasi cha Shilingi Bilioni nne kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Lakini mpaka kufikia tarehe 30 ya Mwezi Septemba 2023, Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekusanya kiasi cha Shilingi Bilioni 2.65 ambayo ni sawa na asilimia 65%. “Mwenendo huu wa makusanyo unaridhisha ninaomba wataalam wetu ongezeni jitahada za kukusanya mapato ili tufikie malengo tulio jiwekea” amesema Mhe. Magope.

Kwa upande wa wajumbe wa baraza hilo wamepongeza Taarifa ya ujenzi wa stendi mpya ya mabasi lakini wameomba wapatiwe mchanganuo wa kina wa vifaa vyote vilivyotumika katika mradi huo.

Aidha baraza hilo leo limejikita katika kuboresha ukusanyaji mapato ya Halmashauri,kupokea Taarifa za maendeleo ya kata pamoja na Taarifa za kamati za kudumu za Halmashauri na kuzijadili.

Naye Katibu wa baraza hilo Ndg. Seleman Pandawe akijibu hoja ya Waheshimiwa Madiwani kuhusu namna ya uwasilishwaji wa Taarifa za maendeleo ya kata ufanywe na watendaji wa kata,Ndg. Pandawe amewasihi wajumbe kufuata kanuni,taratibu na sheria za uendeshaji wa Halmashauri na kwa upande wake hayupo tayari kuvunja kanuni hizo bali ameshauri muongozo wa namna ya kuwasilisha Taarifa hizo ufuatwe.

Akifunga Baraza hilo Mhe. Magope amewashukuru wajumbe na wageni waalikwa kwa kuhudhuria baraza hilo na ametoa wito kwa wataalam kuyachukua yale yote yaliyojadiliwa na Kwenda kuyafanyia kazi kwa ajili ya mustakabali wa maendeleo ya Halmashauri.

                                    

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa