• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

ML. 25 KUWAHAMISHA WANAFUNZI KWENYE NYASI

Imewekwa: January 28th, 2019

   ML. 25 KUWAHAMISHA WANAFUNZI KWENYE NYASI.

Katika shule ya msingi Mwamalugu iliyopo kata ya Kirumbi wanafunzi wanasomea kwenye  madarasa ya Nyasi jambo ambalo limewafanya wanakijiji kuchanga pesa kwa ajili ya ujenzi wa boma la vyumba vitatu vya madarasa.

Ziara ya kamati ya fedha ilifanywa na madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora wakishirikiana na wataalamu mbalimabi wa Halmashauri hiyo yaibua uwajibikaji wa wananchi katika kuchangia miundombinu ya kimaendeleo.

 Miongoni mwa Miradi inayoendeshwa kwa nguvu za wananchi katika Wilaya ya Sikonge.

Mwenyekiti wa Halmashauri(W) Mhe. Peter Nzalalila alikuwa kiongozi wa msafara aliwapongeza wananchi kwa kujitolea nguvu zao pamoja na pesa zao kuchangia ili kushilikiana na serikali ya awamu ya tano katika kuleta maendeleo.

Pia aliwapongeza kwa jambo hilo kwani jamii nzima ina wajibu wa kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bora katika mazingira bora yatakayo wavutia kusoma kwa bidii ili kutimiza ndoto zao. Hivyo basi wazazi wazidi kuhimizwa kutosita kuchangia maendeleo mara tu wanapohitajika.

Katika ziara hiyo madiwaani waliahidi kutenga  Ml. 25 watakapokaa kwenye baraza la madiwani kwa ajili ya kukamilisha boma hilo la vyumba vitatu vya madarasa ili wanafunzi wanapate madarasa bora ya kusomea na kuondokana na adha ya kusomea kwenye madarasa ya miti yaalioezekewa nyasi.

Jambo hili lilipokelewa kwa mikono miwili na viongozi wa kijiji cha Mwamalugu pamoja na wananchi kwa kuhaidi kuendelea kushiriki kama nguvu kazi huku wakiupongeza uongozi wa awamu ya tano kwa kusema ni uongozi unaoacha alama kwa wananchi wake kwani pamoja na elimu kuwa bure lakini pia serikali imeendelea kuwezesha ujenzi wa vyumba vya madarasa na ofisi za walimu.

Ili kuondoa msongamano wa wanafunzi kwenye chumba kimoja cha darasa ilishauliwa kwa uongozi waa kata husika kuhakikisha kuwa wanamalizia mradi waliouanzisha kwanza kabla ya kuingia kwenye mradi mwingine wa ujenzi wa shule mpya.

Miongoni mwa miradi ya elimu iliyokaguliwa ilikuwa ni pamoja na ujenzi wa shule ya sekondari ipole, kipili, Kirumbi pamoja na Kiwele sekondari inayotegemewa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa mwaka 2019 ambayo imekamilika na mabweni yakiwa katika hatua za mwisho za umalizikaji. Yote hii imefanywa na serikali ya awamu ya tano ikiwa katika kutekeleza ilani yake ambapo moja ya kipaumbele ni Elimu.

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                            

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa