• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MKUUWA MKOA WA KIGOMA IGP(MSTAAFU) MHE.BALOZI SIMON SIRRO AWATAKA WATAALAMU KUWASAIDIAVIFUNGASHIO WAJASIRIAMALI

Imewekwa: August 8th, 2025

Na Edigar Nkilabo,


Mgenirasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Maonesho ya Sikukuu ya WakulimaNanenane, 2025 Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewatakawataalamu kuwaelekeza wajasiriamali njia bora ya kutengeneza vifungashiovinavyokidhi vigezo vya kimataifa.

Mhe.Simon Sirro amesema hayo katika Uwanja wa Fatuma Mwasa Ipuli, alipotembeleaBanda la Maonesho la Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge.

"Wataalamuwetu mpo hapa najua mnawatembelea wakulima na kuwapa mbinu nzuri za kuzalishakwa wingi hadi sasa wanafanya kazi nzuri lakini changamoto yao ni vifungashiovya bidhaa wanavyotumia bado havikidhi ubora wa kuwawezesha kupeleka bidhaa zaonje"alisema.

"Jamanimnalipwa na serikali kuwasaidia hawa wakulima,wafugaji na wavuvi ili wazalishekwa tija na kuongeza thamani ya mazao yao hivyo hakikisheni mnawashika mkono nakuwaelimisha ili wazalishe kwa ubora na kuuza nje"aliongeza.

Kwaupande wake Mtaalamu wa Mifugo kutoka Banda la Halmashauri ya Wilaya ya SikongeDkt.Maulid Rajab amesema katika maonesho hayo wataalamu wametoa mafunzo kwawakulima na wafugaji waliotembelea katika banda la Sikonge.

"MheshimiwaMgeni rasmi tumetembelewa na wakulima wengi tumewapa elimu na wakati mwinginetumekuwa tukiwatembelea katika mashamba yao na wamenufaika na ujuzi huo hatakuanza kuzalisha kwa tija"alisema

AidhaDkt.Maulid amesema agizo alilotoa Mgeni rasmi wamelipokea watalifanyia kazi kwakushirikiana na wataalamu wengine ili vifungashio vya bidhaa za wajasiriamaliviwe na ubora stahiki.

Kaulimbiu ya maonesho ya Sikukuu ya  Wakulima Nanenane 2025 ni Chagua ViongoziBora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi 2025"

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • KAMATI YA WATAALAMU HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE IMEKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA KATIKA KATA ZA KITUNDA NA KILOLI ROBO YA NNE

    August 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa