• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA MTEULE WA WILAYA YA SIKONGE MHE.THOMAS MYINGA ALA KIAPO KUANZA KAZI RASMI AKIRITHI MIKOBA YA MTANGULIZI WAKE MHE.CORNEL MAGEMBE

Imewekwa: July 2nd, 2025

Na Edigar Nkilabo


Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe.Paul Chacha amewataka Wakuu wa Wilaya za Sikonge na Tabora Mjini walioteuliwa na kuapishwa kwenda kufanya kazi kwa ushirikiano na viongozi watakaowakuta ili kuleta matokeo chanya katika maeneo yao pamoja na kuendeleza mazuri ya watangulizi wao.

Mhe.Paul Chacha ametoa kauli hiyo katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwana Kiyungi wakati wa hafla ya kuwaapisha Wakuu wa Wilaya za Sikonge na TaboraMjini ambapo amewataka kuwatumikia wananchi wa maeneo yao kama watangulizi wao walivyofanya.

“Nikiwatazama hapa naona nyote ni wachapa kazi hakuna legelege hata watangulizi wenu walikuwa wanafanyakazi vizuri ya kuwahudumia wananchi hakuna ambaye ameondoka kwa kufukuzwa bali ni uchapa kazi wao ambao umewafanya wakapambane katika nafasi zingine nanyi bebeni mema myaendeleze”alisema.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Dkt.John Mboya amewasisitiza viongozi hao wapya kusimamia maadili ya utumishi wa umma na kuzingatia viapo vyao ili kufanya kazi kwa weledi na ufanisi pindi wanapowahudumia wananchi.

“Hkikisheni mnapotekeleza majukumu yenu mnazingatia sheria,kanuni na taratibu za kazi kuepuka mtafaruku katika utendaji, pia tangulizeni uzalendo mkawasikilize wananchi na kutatua changamoto zao kwa wakati”alisema Dkt.Mboya.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Tabora Ndugu Said Nkumba amesema Chama kimewapokea kwa mikono miwili na watatoa ushirikiano kwa viongozi wote kuhakikisha wanawaletea maendeleo wananchi.

“Sisi tutatoa ushirikiano kwa viongozi wapya kuhakikisha mambo yanaenda, Chama hiki kinachotawala adhima yake ni kutoa huduma kwa Watanzania na hayo ndiyo matarajio ya Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan”alisema.

Kwa upande wao Wakuu wa Wilaya wapya wamesema wako tayari kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wanachi wanapata huduma bora.

“Ninamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt.Samia kwa kuniamini na kuniteua katika nafasi hii, mimi ni msaidizi wako niko tayari kufuata maelekezo yako na kuwahudumia wananchi wa Wilaya ya Sikonge”alisema Mhe.Thomas Myinga Mkuu wa Wilaya ya Sikonge.

Hafla hiyo ya uapisho imeambatana na zoezi la kula kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa viongozi wote wapya walioteuliwa na Mhe.Rais katika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Wilaya, Wakuu wa Wilaya na Katibu Tawala.    

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WALIMU WAPYA WALIOAJIRIWA WILAYANI SIKONGE KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2025 WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA.

    July 14, 2025
  • Waganga Wakuu wamemtunukia Rais Tuzo, Mhe. Mpango awapongeza, atoa maelekezo mahususi.

    July 13, 2025
  • MKUU WA WILAYA MTEULE WA WILAYA YA SIKONGE MHE.THOMAS MYINGA ALA KIAPO KUANZA KAZI RASMI AKIRITHI MIKOBA YA MTANGULIZI WAKE MHE.CORNEL MAGEMBE

    July 02, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa