• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA TABORA MHE.PAULO MATIKO CHACHA AMEPIGA MARUFUKU KUCHIMBA MADINI KATIKA ENEO LA HIFADHI LA KALULU INYONGA EAST

Imewekwa: February 27th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Paulo Chacha amefanya ziara ya kutembelea mgodi wa kitunda uliopo kata ya Kitunda wilayani Sikonge pamoja na kusikiliza kero za wananchi wa eneo hilo.

Akiwasilisha changamoto zinazowakabili wachimbaji wa mgodi huo, Katibu wa Chama cha wachimbaji madini Mkoa wa Tabora (TABOREMA) Godfrey Mwaniwiti amesema wachimbaji wa mgodi huo wanachangamoto ya ukosefu wa mashine ya kisasa ya kuchoronga miamba ya madini hali inayoathiri uzalishaji wa madini kwakuwa wachimbaji wengi hufanyakazi kwa kubahatisha.

“Wachimbaji wengi tunafanyakazi kwa hisia kwakuwa hatuna mitambo ya kisasa ambayo ingetuwezesha kuongeza uzalishaji wa madini kama baadhi ya wachimbaji wa mikoa mingine hivyo serikali itusaidie hiyo mitambo na sisi tuchimbe kwa tija”alisema.

Akitoa jawabu la changamoto hiyo Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora Bi.Fatuma Kyando amesema Wizara ya Madini chini ya Kampuni ya STAMICO tayari imenunua mashine za kisasa za kuchoronga.

“Katika awamu ya kwanza mashine hizo zilisambazwa katika mikoa michache kwa mkoa wa Tabora tutapata mashine hizo awamu ya pili ambacho wachimbaji mtatakiwa kufanya ni kuchangia gharama kidogo ili kuzitumia mashine pindi zitakapofika’’alisema.

Akijibu baadhi ya kero za wananchi, Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe.Paulo Chacha amewataka wananchi kuacha mara moja kufanya shughuli za uchimbaji wa madini katika eneo la hifadhi la Kalulu Inyonga East na badala yake waenedelee kuchimba katika maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli hiyo.

“Ni marufuku kuanzia leo kwa mchimbaji yeyote kwenda kuchimba madini katika eneo la hifadhi na wale wote waliokata leseni katika maeneo ya hifadhi leseni hizo zimefutwa atakayeingia humo akikamatwa sheria itafuata mkondo wake”alisema.

Aidha Mhe.Chacha amechangia mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi katika eneo la mgodi wa Kitunda,pamoja na mifuko mingine 50 ya saruji kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa kituo cha polisi.

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.Cornel Magembe ameunga mkono juhudi za wananchi hao kwa kuchangia mifuko mingine 50 ya saruji ili kukamilisha kituo hicho cha polisi kwa lengo la kuimarisha usalama kwa wakazi wa eneo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa