• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MKUTANO WA WAFANYABIASHARA - SIKONGE

Imewekwa: June 27th, 2019

MKUTANO WA WAFANYABIASHARA - SIKONGE.

EVELINA ODEMBA

HALMASHAURI ya Wilaya ya Sikonge yapongezwa kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato ambapo mpaka  sasa jumla ya Sh. Mil 260 tayari zimekusanywa kati ya Mil. 280 zilizotazamiwa kukusanywa kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Takwimu hiyo ilitolewa na Meneja wa TRA Mkoa wa Tabora Thomas Masese alipokuwa akizungumza katika mkutano na kundi la wafanyabiashara waliopo Sikonge sanjari na kutoa elimu ya kodi ili kuwawezesha kupata uelewa.

Mkutano huo ulioongozwa na mgeni rasmi ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Agrey Mwanri uliofanyika Katika ukumbi wa Mwanambuya uliopo Sikonge alisema kuwa  wafanyabiashara ni kundi muhimu sana katika nchi hii hivyo wasijione kama Watu ambao wamesahaulika na Serikali yao ndio maana elimu hii ni muhimu kwao kwani itawasaidia kufurahia ulipaji wa kodi kwa maendeleo chanya ya nchi hii.

“hatutaki kuona wafanyabiashara wakiona gari la TRA wanakimbia na kufunga maduka yao, nyie ni watu wa muhimu sana” alisema

Sanjari na elimu hiyo pia wafanyabiashara walipata fulsa ya kutoa changamoto mbalimbali zinazowakwamisha kuendesha biashara ikiwemo utozwaji wa kodi kubwa na faini ambapo Mkuu wa Mkoa aliitaka  TRA kuwa na kodi rafiki kwa wafanyabiashara, huku akitoa onyo kuwa hakuna ruhusa ya kufunga biashara ya mtu kwa kigezo cha njia ya kumbana alipe kodi. Vinginevyo njia mbadala zitumike kuwabana wafanyabiashara hao kulipa kodi.

Viongozi mbalimbali katika mkutano wa wafanyabiashara (hawapo pichani) katika ukumbi wa Mwanambuya - Sikonge.

Wakati wa kujibu kero mbalimbali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Martha Luleka pia aliwataka wafanyabiashara kuhudhuria vikao vya balaza la madiwani na vikao mbalimbali vinavyoandaliwa na Halmashauri ili kutoa hoja zao mahali hapo  ziweze kufanyiwa kazi na sio kukaa na matatizo yao kan akwamba hawana sehemu ya kupata msaada. Sanjari na hayo aliahidi kulifanyia kazi ombi la wafanyabiashara waliohitaji kutengewa eneo kwa ajili ya kuuzia mazao.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila aliongeza kuwa mkutano huo utasaidia kuondoa sintofahamu iliyokuwepo kati ya wafanyabiashara na serikali yao, ndio maana timu imekuja kuwasikiliza na kujua changamoto zinazowakabili Na zitatatuliwa na kuwataka kuchukulia ulipaji wa kodi ni wajibu.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa