• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA SHILINGI BILIONI MOJA YAANGAZIWA NA MWENGE WA UHURU SIKONGE.

Imewekwa: August 23rd, 2024

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 zikiongozwa na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg. Godfrey Eliakimu Mnzava,zimewasili wilayani Sikonge zikiangazia miradi nane ya maendeleo yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni moja.

Mradi wa kwanza uliomulikwa na Mwenge wa uhuru ni  ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mkolye, ambayo inajengwa kwa gharama ya shilingi milioni 175.4, itachangia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa eneo hilo. Ujenzi wa zahanati utapunguza usumbufu wa safari ndefu za kutafuta huduma za afya na kuimarisha hali ya afya ya jamii.

Katika mbio hizo, Mwenge ulifungua ukurasa mpya katika sekta ya utalii kwa kuwekwa jiwe la msingi katika ujenzi wa nyumba ya kulala wageni ya Madiba Lodge. Ujenzi huu utahakikisha kwamba eneo hilo linakuwa na miundombinu bora ya kulaza wageni, jambo ambalo litachochea maendeleo ya utalii na kutoa ajira kwa wakazi wa Sikonge.

Shughuli nyingine muhimu zilizofanywa na Mwenge wa uhuru  ni uwekaji wa jiwe la msingi katika matengenezo maalum ya barabara ya kiwango cha lami kutoka Misheni hadi Hospitali ya Moravian, kwa umbali wa kilometa 0.55. Barabara hii itarahisisha usafiri na usafirishaji wa bidhaa na huduma, na kuimarisha uunganishaji wa maeneo muhimu ya kijamii.

Mbali na hayo, Mwenge wa Uhuru umeleta matumaini kwa vijana kwa kuweka jiwe la ufunguzi katika ujenzi wa vyumba nane vya madarasa na matundu 12 ya vyoo katika shule ya sekondari ya Kiwere. Hii itasaidia kuboresha mazingira ya kujifunzia na kutoa fursa bora za elimu kwa wanafunzi wa eneo hilo.

Mbio za Mwenge wa uhuru zinafikia tamati leo kwa mkoa wa Tabora,zikiwa zimeweza kuchochea maendeleo katika sekta za afya,elimu,miundombinu na ustawi wa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WALIMU ZAIDI YA 200 WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI SIKONGE WAPEWA MAFUNZO YA KUFUNDISHA SOMO LA KIINGEREZA.

    May 21, 2025
  • CCM, MKOA WA TABORA YAWAHIMIZA WAZAZI NA WALEZI WILAYANI SIKONGE KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    May 19, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA SIKONGE YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOPENDEKEZWA KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 13, 2025
  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa