• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MHE. MAGEMBE AWASIHI WAFUGAJI KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA MIFUGO YAO ILI SERIKALI IWEZE KUWAHUDUMIA KWA UKAMILIFU.

Imewekwa: July 3rd, 2024


Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe. Cornel Lucas Magembe  amezindua chanjo ya mapele ngozi pamoja na zoezi la uogeshaji wa ng’ombe kwa kutumia dawa zinazotolewa kwa ruzuku. Zoezi hilo limefanyika leo katika kijiji cha Msuva,kata ya Ngoywa,wilayani Sikonge,ambapo zadi ya ng’ombe  200,000 wanatarajia kupatiwa chanjo hii muhimu ya mapele ngozi kufikia Julai 27,2024.

Akitoa taarifa ya hali ya chanjo ya mapele ngozi, Afisa mifugo wilaya ya Sikonge Dkt. Maulid Rajabu amesema kwa mwaka wa fedha uliopita 2022/2023, Sikonge ilifanikiwa kuchanja ng’ombe 112, 116, ikiwa ni ongezeko la asilimia 11 ukilinganisha na idadi ya ng’ombe 99,303 waliopatiwa chanjo hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Akihutubia wananchi na wafugaji waliojitokeza katika zoezi hilo,Mhe. Magembe ametoa rai kwa wafugaji kutoa ushirikiano kwa serikali kwa kutoa takwimu sahihi za mifugo yao ili serikali inapopanga mpango wa kuwahudumia wafugajiipange kulingana na mahitaji halisi katika kila eneo.

“Nitumie nafasi hii kuwaomba sana wafugaji,unapokuwa umeambiwa utoe idadi sahihi ya ng’ombe ,si kwa nia nyingine ya kutaka kuwanyonya,la hasha,maana yake tunalenga tupate idadi sahihi ya ng’ombe mnaofuga,ili serikali ijue ni dawa kiasi gani inapaswa kuja katika eneo letu.” Ameeleza Mh. Magembe.

Ugonjwa wa mapele ngozi ni hatari kwa afya ya ngo’ombe  ambao kwa kiingereza unafahamika kama Lumpy skin disease,ugonjwa huu kwa mara ya kwanza uligunduliwa nchini Zambia mwaka 1929,na kufikia mwaka 1989 ugonjwa wa mapele ngozi ulikuwa umeenea eneo zima la bara la Afrika na katika maeneo mengi ya bara la Asia na Kusini mashariki mwa bara la Ulaya.

Zoezi hili la utoaji wa chanjo ya mapele ngozi linaendeshwa na kampuni ya JEAA VETAGRO SOLUTION LTD, ambayo ndiyo iliyoshinda zabuni ya usambazi wa chanjo ya mapele ngozi wilayani Sikonge.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa