• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MHE. DC CHACHA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA WILAYANI SIKONGE.

Imewekwa: October 10th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha ameongoza kikao cha baraza la biashara katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge leo tarehe 10 Septemba,2023.

Akifungua baraza hilo amesema  mapato mengi ya Serikali yanatokana na shughuli za watu wanazofanya,hivyo mazingira ya kufanya shughuli hizo yanapaswa kuwa  mazingira mazuri ili kuwasaidia wananchi wafanye shughuli zao kwa amani.

Katika baraza hilo wajumbe wamechangia sababu mbalimbali zinazo zorotesha sekta ya biashara,viwanda na uwekezaji ikiwemo utambuaji wa mazingira halisi ya uwekezaji pamoja na kuchelewa kwa  kiwanda cha kuchakata mazao ya nyuki kufunguliwa.

Akijibu changamoto hizo Bwana Peter Mpeta Mkuu wa Idara ya Viwanda na Uwekezaji amesema Halmashauri ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha ujazwaji wa mkataba na mzabuni Ngoda Traders ili kiwanda kianze uzalishaji rasmi na kwa upande wa maeneo ya uwekezaji Mpeta amesema kuwa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji hayatabadilishwa hivyo wawekezaji wawe huru kuendelea na uwekezaji hasa katika maeneo ya Stendi Kuu ya Mabasi pamoja na eneo la maegesho ya magari ya mizigo.

Aidha akichangia Mawazo katika eneo la uwekezaji, Katibu Tawala wa Wilaya ya Sikonge Ndg. Andrea Ng’hwani amesema Sikonge bado tunahitaji kuongeza nguvu katika eneo la uwekezaji kwa sababu furasa bado zipo nyingi.

Naye Katibu wa baraza la Biashara Wilaya ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Sikonge Ndg. Selemani Pandawe amesema Sikonge bado ina fursa nyingi katika eneo la uwekezaji hivyo wazawa wasisite kuwekeza kwa nguvu hasa katika Ujenzi wa Shule,Hospitali Pamoja na eneo la Usafirishaji.

Akifunga baraza hilo Mhe. Chacha amewasihi wanachi kulichukulia maanani suala la uwekezaji “ Naomba sana suala la uwekezaji  tulizingatie,fursa  zipo.Tusiogope kuthubutu,tutafakari,tusichelee kuwekeza Sikonge” amesema DC Chacha.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • MAMBO SHWARI KWA KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE

    September 22, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa