• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MHE. CHACHA AZINDUA ZOEZI LA USAMBAZAJI WA VYANDARUA KWENYE KAYA KATIKA VIWANJA VYA TASAF SIKONGE.

Imewekwa: November 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha amezindua zoezi la ugawaji wa vyandarua kwenye kaya katika viwanja vya Tasaf.

Akitoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa,Kaimu Meneja wa TRC Tabora Bw. Adonizedeki Tefurukwa amewashukuru wafadhili hususani Mfuko wa dunia kwa maendeleo kwa kuendelea kutoa mchango wake katika sekta ya afya hasa katika kupambana na Kifua Kikuu,Ukimwi pamoja na Malaria.Vilevile amewaomba wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya vyandarua watakavyo gawiwa leo.

Mhe. Chacha akiwahutubia wananchi waliojitokeza kumsikiliza amesema takwimu zinaonesha kuwa Mkoa wa Tabora pamoja na Wilaya ya Sikonge  unaongoza kwa maambukizi ya ugonjwa wa malaria hivyo lazima wananchi waelewe kuwa hali ni mbaya na lazima hatua za kupambana na malaria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kufanya usafi katika mazingira yetu pamoja na kuzingatia matumizi sahihi ya vyandarua.

Naye Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Bi. Grace Mburi amesema hadi sasa Halmashauri imeandikisha kaya 44225 kati ya kaya 56,735 zilizotarajiwa ambayo ni sawa na watu 360,909 kati ya watu 340,409 waliotarajiwa.

Vilevile amesema serikali imejipanga kuangamiza mazalia ya mbu kwa kuhakikisha kila kituo cha afya kinatenga fedha kwa ajili ya kununulia viuadudu kwa mwaka wa fedha ujao hasa katika maeneo sugu yanayotunza mazalia ya mbu.

Akitoa salamu za Halmashauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Sikonge Ndugu Seleman Pandawe amewasihi pia wananchi kufanya usafi wa mazingira katika maeneo yao ili kuangamiza mazalia ya mbu waenezao malaria na kutumia chandarua kujikinga na ugonjwa hatari wa malaria.

 Zoezi hili linaendelea katika kata zote Wilayani Sikonge kupitia vituo 89 vya kupokelea vyandarua vilivyotengwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa