• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MHE. CHACHA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA AFISA ELIMU MKOA WA TABORA NA WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI NA MSINGI KATIKA UKUMBI WA SHULE YA SEKONDARI KAMAGI.

Imewekwa: January 18th, 2024

Na. Robert Magaka – Sikonge.

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha afungua kikao kazi cha Afisa Elimu Mkoa wa Tabora Ndg. Juma Japhet Kaponda pamoja na Wataalam wa Elimu Wilaya ya Sikonge katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Kamagi.

Akifungua Kikao kazi hicho DC Chacha amempongeza Ndg. Kaponda kwa Uwasilishaji wake mzuri wa maneno ya utangulizi lakini pia amempongeza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kiyombo kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya ujenzi kwa kuushirikisha umma na kufanya kazi nzuri lakini pia amewapongeza Walimu wa Shule ya Sekondari Kamagi kwa ushirikiano walio nao katika usimamizi wa miradi ya shule.

Aidha amekemea tabia ya baadhi ya Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu kutowashirikisha walimu wengine,Viongozi wa eneno husika na jamii katika miradi mbalimbali inayoletwa shuleni,amesisitiza uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa miradi hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Rashid Magope ameshauri uwepo usawa wa bei katika manunuzi ya vifaa vya ujenzi katika miradi,tofauti na sasa ambapo kumekuwepo na utofauti wa bei ya vifaa vya ujenzi toka shule moja hadi nyingine,ameshukuru pia kwa ujio wa mfumo mpya wa manunuzi (NeST) unaweza kuondoa utofauti huo wa bidhaa moja kuwa na bei tofauti katika eneo moja.

Naye Afisa elimu Mkoa wa Tabora Bw. Kaponda ameshukuru kwa kazi nzuri iliyofanyika mwaka uliopita na kuwaomba walimu kufanya zaidi kwa mwaka wa huu mpya wa masomo.

Kaponda ameongeza kuwa amekuja Sikonge akikusudia kusema na Walimu katika maeneo makuu manne amabayo ni Usimamizi wa Miradi Shuleni,Uandikishaji  wa wanafunzi,Mdondoko wa wanafunzi na Mwenendo wa Taaluma Shuleni.

Aidha amesisitiza sana kwa Walimu Wakuu na Wasaidizi,Wakuu wa Shule na Wakuu wasaidizi kujua wajibu walionao katika jamii na Taifa kwa ujumla na kufanya kazi kwa bidi na uadilifu.

Akihitimisha kikao kazi hicho Bw. Kaponda amewasihi walimu kufanya kazi kwa kushirikiana, ubunifu na uadilifu katika majukumu yao ya kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa