• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MGOGORO KATI YA WANANCHI NA IDARA YA RASLIMALI ZA MAJI BONDE LA ZIWA TANGANYIKA WAPATIWA UFUMBUZI.

Imewekwa: September 12th, 2021


MGOGORO KATI YA WANANCHI NA IDARA YA RASLIMALI ZA  MAJI BONDE LA ZIWA TANGANYIKA WAPATIWA UFUMBUZI.

Bwawa la Igigwa,Utyatya-Sikonge.Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo ametembelea bwawa la umwagiliaji la Igigwa  ambalo ni chanzo cha kilimo cha umwagiliaji Wilayani Sikonge na kutatua mgogoro ulio kuwepo kati ya Idara ya raslimali  za maji-Bonde la Ziwa Tanganyika na  wananchi ambao wanadaiwa kuendesha shughuli za kibinadamu karibu na chemichemi za bwawa hilo.DC Palingo amekutana na wananchi wa eneo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi hao kuzuiliwa kufanya Shughuli za kijamii kando ya Bwawa hilo,huku wao wakidai hawakuvunja sheria ya mabwawa kwa kuwa wako umbali wa mita 60 kutoka katika bwawa hilo.Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Nyakahunga kando ya bwawa hilo DC Palingo amewataka wataalamu hao kutoka Bonde la Mto Tanganyika kupima na kuweka alama kwa kuzingatia sheria za mabwawa .Katika hatua nyingine Mhe.Palingo ametembelea katika Bwawa la Utyatya ambalo ni chanzo kikuu cha upatikani wa maji ya bomba Wilayani Sikonge na kuwataka wanaofanya shughuli za kibinadamu na zinazoashiria uchafuzi wa bwawa hilo kuhama.DC Palingo amewataka wananchi kutunza vyanzo vya  maji  kwani ni muhimu  katika upatikanaji wa maji ya bomba yanayotumiwa na wakazi wengi Wilayani hapo huku akiziagiza mamlaka husika kusimamia sheria pasipo upendeleo kwa wote wanaofanya shughuli za kibinadamu kando kando ya mabwawa hayo  kuhakikisha wanahama maeneo hayo huku akimsisitiza diwani wa kata ya Igigwa na watendaji wa kata na vijiji kusimamia utunzaji wa mabwawa hayo ili yadumu kwa muda mrefu.Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha utunzaji vyanzo vya maji-Bonde la ziwa Tanganyika Mhandisi Odemba Cornel amesema waliweka alama(beacon) kwa kuzingatia sheria mbalimbali zinazoruhusu wao kuweka alama zaidi ya mita 60 maeneo ambayo mkondo unaotiririsha maji bwawani unapita.Na.Anna Kapama.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa