• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

BONANZA LA VIWANDA 2018

Imewekwa: January 1st, 2018

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE AKIFANYA MAZOEZI NA WATUMISHI SIKU YA MWAKA MPYA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI JUU YA UANZISHAJI WA VIWANDA VIDOGO NA VYA KATI WILAYANI SIKONGE. AIDHA KATIKA BONANZA HILO YALIFANYIKA MASHINDANO MBALIMBALI YA MPIRA WA MIGUU NA MPIRA WA KIKAPU,  MGENI RASMI AMBAYE NI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WILAYA ALIKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI. MPIRA WA MIGUU TIMU YA SIKONGE UNITED ILISHINDA KWA PENATI 5 KWA 4 DHIDI YA HOT STONE, HIVYO SIKONGE UNITED WAKAONDOKA NA ZAWADI YA TSH. 40,000/= HUKU HOT STONE WAKIPATA TSH. 20,000/=

KWA MPIRA WA KIKAPU WA WANAWAKE TIMU YA KURUGENZI ILISHINDA KWA MAGOLI 25 KWA 12 DHIDI YA SIKONGE QUEEN NA HIVYO KUPATA ZAWADI YA TSH. 40,000/= WAKATI SIKONGE QUEEN WAKIPATA TSH. 20,000/=. PIA KWA UPANDE WA AFYA, WANANCHI WALIJITOKEZA KWA WINGI KUCHANGIA DAMU NA KUFANYA VIPIMO MBALIMBALI VYA AFYA ZAO. AMBAPO KIASI CHA DAMU KILICHOPATIKANA NI CHUPA 18 ZA DAMU.

AIDHA, KAIMU MKURUGENZI NDUGU TITO LUCHAGULA ALISOMA HOTUBA ALIYOACHIWA NA MKURUGENZI MTENDAJI BWA. SIMON NGATUNGA JUU YA UANZISHAJI WA VIWANDA VIDOGO KWA KUUNDA VIKUNDI ILI WAPATE MKOPO KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA NA KWA WANAOTAKA KUWEKEZA KATIKA VIWANDA ALISEMA MAENEO YAPO TAYARI YALIYOTENGWA KWA AJILI YA VIWANDA VIKUBWA NA VIDOGO.

MWISHO MGENI RASMI ALIWASHUKURU WANANCHI KWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA BONANZA HILO NA KUWATAKA WASHIRIKI KATIKA JAMBO HILI LA VIWANDA AMBALO NDIO KAULI MBIU YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA KUBORESHA NA KUKUZA UCHUMI WA TANZANIA.



Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa