• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI WILAYA YA SIKONGE CHAFANYIKA KUJADILI MPANGO MKAKATI KUHARAKISHA KASI YA UTOAJI CHANJO YA UVIKO-19.

Imewekwa: September 22nd, 2021

KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI WILAYA YA SIKONGE CHAFANYIKA KUJADILI MPANGO MKAKATI KUHARAKISHA KASI YA UTOAJI CHANJO YA UVIKO-19.
Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo ameongoza kikao cha Kamati ya Afya ya kilichofanyika Leo 22/9/2021 katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya.
Akifungua kikao,Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Palingo amesema lengo kuu la kikao hicho ni kujadili namna ya kuhamasisha jamii umuhimu wa chanjo ili kuongeza kasi ya watu kupata chanjo hiyo ya UVIKO-19.
Akitoa taarifa ya mwenendo wa chanjo katika Wilaya hiyo,Mratibu wa huduma za Chanjo(W) Muku Masoud amesema Wilaya ya Sikonge ilipokea dozi 3,710 ya chanjo ya "Janssen" mnamo Agosti 4,2021 ,lakini mpaka kufikia Septemba 21,2021  jumla ya waliopata chanjo hiyo ni watu 342 sawa na asilimia 9.2 tu.
Aidha,Masoud amesema kumekuwa na  muitikio mdogo wa wananchi kujitokeza kupata Chanjo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo uelewa mdogo wa wananchi juu ya umuhimu wa chanjo,wahudumu wa chanjo kutokupatiwa mafunzo ya chanjo ya UVIKO-19,Viongozi wa Siasa,Dini na Watu mashuhuri kutopatiwa uelewa wa kutosha kuhusu Chanjo hiyo ili wasaidie kuhamasisha jamii.Kamati hiyo imejadili mikakati inayotarajiwa kutekelezwa ili  kuharakisha kasi ya utoaji chanjo ya UVIKO-19 kwa wananchi katika Wilaya ya Sikonge ikiwemo kuongeza vituo na kusambaza chanjo katika vituo vyote 36 vya kutolea huduma za Afya, kufanya huduma ya mkoba kwa maeneo yaliyo mbali na vituo  vya chanjo na sehemu zenye mikutano ya hadhara,minada, na vyuoni,na pia kutoa mafunzo kwa watoa huduma ya chanjo.
Kwa upande wake Afisa kutoka Wizara ya Afya ,maendeleo ya jamii,Jinsia Wazee na watoto Dr.Yahaya Hussein amesema Serikali imetenga fedha kwa ajili ya watoa huduma ya Chanjo ili kurahisisha huduma hiyo.
Utekelezaji wa Mikakati hiyo unatarajiwa kuongeza kasi ya uchanjaji wa UVIKO-19 ifikapo Oktoba 15,2021.
Na.Anna Kapama

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa