• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KATIBU TAWALA WILAYA YA SIKONGE ATEMBELEA SHULE TANO ZA SEKONDARI KUFUATILIA MAPOKEZI YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024.

Imewekwa: January 11th, 2024

Na. Robert Magaka – Sikonge.

Katibu Tawala Wilaya ya Sikonge Ndg. Andrea Ng'hwani ametembelea shule tano za sekondari kufuatilia mwitikio wa mahudhurio ya wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024, katika ziara hiyo Ng’hwani ameambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Sikonge Bi. Kalista Maina pamoja na Afisa Tarafa ya Sikonge Bi. Faraja Hebel.

Shule alizotembelea ni pamoja na Ugunda Sekondari,Chabutwa,Kamagi,Shule mpya ya Sikonge Sekondari pamoja na Shule ya Sekondari Mkolye.

Akizungumza mbele ya walimu pamoja na Wajumbe wa baraza la kata ya Ipole Ndg. Ng’hwani amesema mahudhurio sio mazuri ukilinganisha na uhalisia wa idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule za sekondari kwa mwaka 2024, hivyo amewataka Viongozi wa Kata pamoja na walimu  kushirikiana na Wazazi kuhakikisha wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule za sekondari wanaripoti mara moja ili kuendelea na masomo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi amewapongeza Walimu wa Shule ya Sekondari Ugunda kwa kufanya vizuri katika mtihani wa kidato cha pili 2023 kwa kupata ufaulu wa asilimia 85% na kuwasihi kuzidisha juhudi katika kuondoa kabisa Daraja la nne katika matokeo ya mitihani ya kitaifa.

Akihitimisha ziara hiyo Katika Shule ya Sekondari Mkolye Katibu Tawala Wilaya ya Sikonge ametoa wito kwa wazazi na walimu kuwasisitiza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza na bado hawajafika  kuripoti shuleni haraka hata kama hawajakamilisha mahitaji ya msingi zikiwemo sare za shule na mahitaji mengineyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa