• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA USALAMA WILAYA YATEMBELEA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024.

Imewekwa: May 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Cornel Lucas Magembe ameongoza kamati ya usalama kukagua miradi itakayopitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru 2024.

Katika ziara hiyo kamati ya Usalama imekagua mradi wa ujenzi wa vyumba nane vya madarasa na matundu 12 ya vyoo katika shule ya sekondari Kiwere yenye thamani ya shilingi milioni 234, mradi unaendelea vizuri upo katika hatua za upauaji.

Mhe. Magembe amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe,Diwani wa Kata ya Kitunda Mhe. Ismail Mnakwanza pamoja na Mkuu wa Shule ya Sekondari Kiwere Mwl. Bakari Nahoda pamoja na kamati ya ujenzi wa mradi huo kwa utekelezaji wa mradi huo kwa viwango vinavyoridhisha. “Kwa kweli nawapongeza kwa kazi nzuri ambayo mnaendelea nayo ,kwa hiyo mimi nikupongeze sana mheshimiwa diwani,mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya kata lakini na watendaji wako kwa jinsi walivyosimamia,lakini mwalimu na wewe tukupongeze kwa sababu wewe ndio mradi upo kwako ukicheza vibaya mradi unaharibika,nimefurahi ukiangalia hata fisherboard ilivyopigwa,ukweli ubao umenyooka sawasawa inavutia kutazama hata kwa mbali, nawapongeza sana kwa kweli.”amesema Mhe. Magembe.

Mradi mwingine uliokaguliwa ni ujenzi wa mradi wa maji,mtandao wa ziwa Victoria kwenda miji ya Sikonge,Urambo na Kaliua,mradi huu unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 40.9  mradi huu unahusisha ujenzi wa bomba kuu la usafirishaji maji kutoka bomba kuu la maji ya ziwa Victoria kuja Tabora Mjini na kuelekea mji wa Sikonge pamoja na ujenzi wa matanki mawili ya maji safi,ujenzi umefikia asilimia 19%.Baada ya ujenzi kukamilika  jumla ya vijiji 23 na wananchi 164,766 pamoja na mifugo watanufaika na huduma ya maji safi na salama.

Kamati ya usalama umeridhishwa na maendeleo ya miradi  hiyo,wameshauri kasi ya ujenzi iendelee pamoja na kuhakikisha nyaraka zote za ujenzi ziandaliwe na kutunzwa vizuri na kuhakikisha wazabuni wa miradi hii wanalipwa kwa wakati.




Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa