• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA SIASA MKOA WA TABORA YAFANYA UKAGUZI MIRADI YA MAENDELEO SIKONGE

Imewekwa: March 4th, 2021

KAMATI YA SIASA MKOA WA TABORA YAFANYA UKAGUZI MIRADI YA MAENDELEO SIKONGE

Na.Anna Kapama-Sikonge DC


Kamati ya siasa mkoa wa Tabora imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Sikonge ikiwemo  mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kati cha uchakataji  na usindikaji wa mazao ya  Nyuki ,mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami na ujenzi wa vyumba vya madarasa,mabweni na bwalo la chakula katika Shule ya Msingi Sikonge  Elimu maalumu.

Mwenyekiti wa chama Cha Mapinduzi mkoa wa Tabora, Hassan Mwakasubi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kwa kutekeleza ilani ya chama kwa kutekeleza miradi hiyo ya maendeleo ikiwemo ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Usesula hadi  Komanga yenye urefu wa kilomita 108.

Nae mkuu wa mkoa wa Tabora Dkt.Philemoni Sengati amesema  mradi  huo wa ujenzi wa  barabara unaotarajiwa kukamilika mwaka huu utasaidia kukuza uchumi kwa kuongeza mwingiliano wa kibiashara kati ya mkoa wa Tabora na mikoa jirani.

Katika hatua nyingine Kamati ya siasa mkoa wa Tabora ambayo iliongozana na viongozi mbalimbali  wa wilaya hiyo akiwemo Mkuu Wilaya ya Sikonge, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Sikonge  na wajumbe wengine wa kamati hiyo waliridhishwa na hatua  iliyofikiwa ya ujenzi wa  kiwanda hicho cha kati cha uchakataji na usindikaji wa mazao ya nyuki.

Aidha,Mwenyekiti wa CCM mkoa amewataka viongozi na wasimamizi wa mradi huo kusimamia vyema vyama vya wafugaji wa nyuki ili waweze kunufaika na mradi huo,huku Mkuu wa Mkoa wa Tabora akiwaomba watu mbalimbali kutoka maeneo yote Tanzania kuja kuwekeza katika misitu inayopatikana wiliayani hapa.

Kwa upande wake mratibu wa ujenzi wa kiwanda hicho Gadi Mwatebela ameipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho na kuongeza kuwa kitasaidia kuongeza ajira na kuinua uchumi wa wananchi wa Sikonge na maeneo mengine pamoja na kuongeza pato la taifa na kuwa Kiwanda hicho kilicho katika hatua ya kukamilishwa kitakuwa na uwezo wa kuchakata tani nane kwa siku na tani elfu mbili miamoja na nne,  Kwa mwaka.

Katika ukaguzi wa madarasa na bweni la chakula katika shule ya msingi Sikonge elimu malumu,mkuu wa mkoa wa Tabora ameongeza kuwa mradi huo utasaidia utoaji wa elimu bora kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

Mandefu Kajuni,ambae ni Mkuu wa Shule hiyo iliyoanzishwa mwa 2011, ameipongeza serikali kwa kuwapatia fedha za  kujenga mradi wa bweni,bwalo na  vyumba viwiili vya madarasa wenye thamani ya Sh.milioni 220.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa