• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH.Bilioni 1.3 , YASISITIZA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI.

Imewekwa: October 24th, 2022

Sikonge_Tabora


Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango  Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekagua Miradi 9 ya Maendeleo katika Sekta ya Afya na Elimu


Akizungumza wakati wa ukaguzi huo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Rashid Magope amesema suala la ushirikishwaji wa wananchi na Viongozi wa Ngazi zote za Serikali hasa Vijiji  ni Muhimu lizingatiwe ili Wananchi wapate fursa za ajira katika miradi hiyo pamoja na kutambua Serikali inaleta Maendeleo kwa ajili yao.


Kwa Upande wake Diwani wa Kata ya Nyahua  Mhe.Andrea Masanja  ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi kwa kusimamia vyema Miradi hasa yenye fedha nyingi ikiwemo Jengo la Wagonjwa wa dharura(EMD)  huku akiwasisitiza maelekezo ya kuboresha  yanayotolewa na Kamati yafanyiwe kazi ili watakapokagua mara nyingine wakute miradi ikiwa katika Ubora zaidi.


Aidha, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Seleman Pandawe ameahidi kuyafanyia kazi maagizo yote yaliyotolewa na Kamati  yenye lengo la kuboresha miradi hiyo huku akisisitiza kuendelea kufanya ufuatiliaji kupitia Menejimenti ya wataalamu katika kutekeleza Miradi hiyo kwa ufanisi.


Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango imekagua Miradi 9 ikiwemo Jengo la huduma za dharura (EMD) lenye Thamani ya TSH. Milioni 300, Wodi mbili za wanawake na wanaume waliopasuliwa zenye thamani ya Tsh.Milioni 400, Jengo la Kuhifadhia Maiti yenye thamani ya Tsh.Milioni 153, ukarabati wa Maabara ya Sekondari Igigwa Tsh.Milioni 30, Ujenzi wa nyumba ya watumishi TSH.Milioni 90,  Matundu ya Vyoo katika Zahanati ya Mole na Igigwa TSH.Milioni 30 ambapo fedha zote ni kutoka Serikali kuu , pamoja na Ujenzi wa Kituo Cha Afya Igigwa Chenye Thamani ya Tsh. Milioni 300.2 fedha za Mapato ya Ndani.


Ziara inaendelea..


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa