• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO: UJENZI WA SHULE, OFISI ZA KATA NA MIUNDOMBINU YA AFYA SIKONGE.

Imewekwa: September 2nd, 2024

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge ikiongozwa na Mhe. Rashid Magope,Mwenyekiti wa kamati hiyo imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya nne. Ziara hiyo ililenga kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali na kuhakikisha matumizi sahihi ya fedha za umma yamezingatiwa.

Katika ukaguzi huo, kamati imepitia mradi wa ujenzi wa shule mpya ya msingi katika eneo la Ukanga, ambao umegharimu shilingi milioni 60. Ujenzi wa shule hii unatarajiwa kuboresha upatikanaji wa elimu na kutoa mazingira bora ya kujifunzia kwa watoto wa eneo hilo.

Aidha, kamati imekagua mradi wa ujenzi wa njia za watembea kwa miguu (walkways) katika hospitali ya wilaya ya Mlogolo. Mradi huu, ulio na gharama ya shilingi milioni 100, unalenga kuboresha miundombinu ya hospitali na kuwezesha huduma bora kwa wagonjwa na wahudumu.

Mradi mwingine uliozingatiwa ni ujenzi wa ofisi ya kata ya Tutuo, ambapo gharama zake ni shilingi milioni 10. Ofisi hii itasaidia kuongeza ufanisi katika utendaji wa shughuli za kata na kuboresha huduma kwa wananchi wa eneo hilo. Kamati pia ilipitia ujenzi wa ofisi ya kata ya Mpombwe, ambayo imegharimu shilingi milioni 15. Ujenzi huu ni sehemu ya juhudi za kuboresha utawala na huduma za kata hiyo.

Kwa upande wa miradi ya afya, kamati imekagua ujenzi wa kichomea taka pamoja na tanki la ardhini la kuhifadhia maji, miradi ambayo imegharimu shilingi milioni 32. Miradi hii inalenga kuboresha usafi wa mazingira na usimamizi wa rasilimali za maji katika kata hiyo.

Ziara hii ya kamati imelenga kuhakikisha kuwa miradi inatekelezwa kwa viwango vya juu na kwa matumizi bora ya fedha za umma. Kamati imeonesha kuridhishwa na maendeleo ya miradi, huku ikitoa maelekezo kwa maeneo yenye changamoto ili kuhakikisha kuwa malengo ya miradi yanafikiwa kikamilifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • MAMBO SHWARI KWA KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE

    September 22, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa