• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO (FUM) HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPONGEZA KASI NA UBORA WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa: January 28th, 2026


Na Edigar Nkilabo – SikongeDC

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika kata tofauti ndani ya Halmashauri ikiwemo miradi ya Elimu,Afya,Utawala na Mazingira ambapo Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Ndg.Gastor A. Rwambano imekiri kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.

Katika ziara hiyo iliyoanza tarehe 26 Januari, 2026, kwa kamati kutembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kimkakati Kiloleli wenye thamani ya shilingi 250,000,000/= fedha za serikali kuu na shilingi 9,000,000/= za nguvu ya Wananchi ikiwemo usafishaji wa eneo,kubeba mchanga,mawe pamoja na fedha taslimu.

“Tumefurahi kuona mradi huu unaendelea licha ya changamoto zilizokuwa nje ya uwezo wenu Wataalam wetu lakini kazi inaonekana na hapa tungeshauri mafundi waongezwe ili kasi iongezeke mradi ukamilike kwa wakati”alisema Mwenyekiti wa Kamati Ndg.Gastor Rwambano.

Aidha Kamati hiyo imekagua mradi wa elimu ujenzi wa vyumba 03 vya madarasa  na matundu 06 ya vyoo kwa shule ya Msingi pamoja na vyumba 02 vya madarasa ya Awali na matundu 06 ya vyoo kwa fedha za BOOST shilingi 160,000,000/= ambapo baadhi ya vyumba tayari vimekamilika na vingine vikiendelea kujengwa.

Miradi mingine iliyokaguliwa na Kamati ni ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ambapo Kamati iliidhinisha zaidi ya shilingi 50,000,000/= za mapato ya ndani kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa nyumba hiyo ambayo imejengwa kwa fedha za serikali kuu na mapato ya ndani kwa awamu tofauti kuanzia mwaka 2012. Pia kitalu cha miche ya matunda cha Halmashauri kimekaguliwa na Kamati pamoja na Hospitali ya Wilaya Mlogolo ambapo wamekagua njia za kuunganisha majengo 9Walkways) mradi ambao umetekelezwa kwa awamu mbili kwa mapato ya ndani shilingi milioni 120 na milioni 41 za serikali kuu hadi kukamilika kwa njia hizo.

Baada ya kukagua miradi hiyo ikiwemo jengo la kuhifadhia maiti katika hospitali ya Wilaya, Kamati imeipongeza Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo na kusisitiza wataalam kufanyia kazi maelekezo ya kamati ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kuanza kuwanufaisha Wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATOTO WA UMRI WA MIAKA 5 HADI 14 WILAYANI SIKONGE WAMEZESHWA DAWA KINGATIBA

    February 04, 2026
  • WALIMU WAJENGEWA UWEZO KUHUSU UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    February 04, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA REDIO JAMII (SIKONGE FM) KWA SHILINGI 190,455,100/= ZINAZOTOKANA NA MAPATO YA NDANI Na, Edigar Nkilabo – SikongeDC Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekamilisha mradi wa ujenzi wa Kituo cha

    January 29, 2026
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO (FUM) HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPONGEZA KASI NA UBORA WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa

  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • yamitoto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • axl777
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • dora77
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • yamitoto
  • nabitoto
  • nabitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • axl777
  • situs toto
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • >
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77