• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI AONGOZA WATAALAM KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MNADA WA MIFUGO MLOGOLO, UKARABATI WA MACHINJIO YA WILAYA NA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE.

Imewekwa: December 21st, 2023

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Bw. Nico Kayange amewaongoza Wakuu wa Idara na Divisheni katika ukaguzi wa ujenzi wa mnada wa Mifugo wa Mlogolo ambapo ujenzi wa uzio wa mnada umekamilika.

Bw. Kayange ameagiza ujenzi uliobaki wa miundombinu ya msingi ambayo ni Choo cha Mnada vikamilike ndani ya Mwezi mmoja ili mnada uanze kufanya kazi.

Mradi wa ujenzi wa uzio wa mnada umegharimu Shilingi 227,826,140. Tayari Shilingi 17,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa choo zimeshatolewa.

Kwa upande wa ukarabati wa Machinjio ya Wilaya bado unaendelea kwa awamu ya pili,ambapo kiasi cha shilingi 5,000,000/= zilishatumika kwa awamu ya kwanza kwa ajili ya ukarabati wa sakafu ya machinjio na kuezeka banda la kuanikia Ngozi.

Aidha shilingi 15,000,000/= zilishatolewa kwa ajili ya ukarabati awamu ya pili ikihusisha gharama za  kuleta nguzo za umeme toka Kambi ya Wahandisi TANROADS kuja machinjioni,Kununua vifaa vya umeme,kufanya uhandisi wa umeme na kujenga mfereji wa nje wa maji taka, kazi inaendelea kwa kiwango cha kuridhisha.

Kwa upande wa ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Sikonge akitoa maelezo ya jumla Kaimu Mkurugenzi ameshauri kasi ya ujenzi iongezeke na dosari zote zilizobainika zirekebishwe haraka na mradi ukabidhiwe tayari kwa matumizi yaliyokusudiwa ifikapo Disemba 30, 2023.

Ameagiza kazi zifanyike Usiku na mchana kwani Tayari Viongozi wa Chama na Serikali wamezuru mradi huo na kutoa maelekezo ya msingi kilichosalia ni utekelezaji wa maelekezo hayo na baada ya Disemba 30 hatua kali zitachukuliwa iwapo hakutakuwa na utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa