• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

JEMBE LA UVCCM TAIFA KAZINI SIKONGE

Imewekwa: October 4th, 2018

JEMBE LA UVCCM TAIFA KAZINI SIKONGE

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Ndugu. Kheri Denis James katika ziara ya kikazi katika Mkoa wa Tabora, leo ametembelea Wilaya ya Sikonge na kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge na kuipokea taarifa ya ujenzi wa jengo hilo iliyosomwa na Kaimu Mkuu wa Idara ya Ujenzi, Mussa Mathias.

Mwenyekiti huyo wa UVCCM alipokuwa akitembelea jengo alimhoji Mhandisi anaejenga kama vijana wakazi wa Sikonge wamepata ajira katika mradi huo, baada ya kujulishwa kuwa vijana wamepata ajira alitoa faida ya kuwapa wakazi ajira katika miradi inayotekelezwa kuwa ni pamoja na kutohujumiwa kwa mradi na pia kupata kipato kwa vijana hao.  

Aidha, Ndugu Kheri James amezungumza na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na viongozi wa chama na wajumbe wa kuu. "Heshima, ushirikiano baina yenu na bila kukwamishana katika majukumu yenu kutaleta maendeleo ya taifa letu" alisema ndugu Kheri James.

Alisisitiza kuwa Serikali kuu, Serikali za Mitaa na Chama wote ni kitu kimoja na tunatekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi hivyo kutoelewana ni kukwamisha utekelezaji wa Ilani. “Wakubwa muwahurumie wadogo na wadogo muwaheshimu wakubwa” alisema ndugu Kheri na kuwaeleza tena kuwa heshima baina yenu ndo nguzo ya maendeleo ya taifa.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Peres Magiri alimshukuru sana Mwenyekiti huyo kwa hotuba nzuri yenye kujenga na isiyoisha hamu ya kuisikiliza na kusisitiza kuwa tuzingatie yaliyosemwa na kuyatekeleza ili kuleta maendeleo ya Taifa letu.

Nae Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Sikonge, Edward Mwamotela kwa niaba ya Watumishi aliahidi kuwa watazingatia yote na kuimarisha mahusiano mazuri baina yao ili kuijenga Sikonge na kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA TEHAMA SIKONGE

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa