• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YACHANGIA ZAIDI YA TSH.MILIONI 647 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO SIKONGE

Imewekwa: September 9th, 2021

HALMASHAURI YACHANGIA ZAIDI YA TSH.MILIONI 647 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO SIKONGE.

Na.Anna Kapama.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Rashid Magope amesema kiasi cha Sh.milioni 647 zimetolewa na Halmashauri hiyo ikiwa ni sawa na asilima 76.42 ya lengo la kuchangia Zaidi ya Milioni 846 katika shughuli mbalimbali za maendeleo.

Mh.Magope ametoa kauli hiyo  wakati akifungua Mkutano wa  Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Ndavukilo Wilayani hapo na kuongeza kuwa fedha hizo zimeelekezwa katika miradi mbalimbali ikiwemo uboreshaji wa huduma za Afya,miundombinu ya madarasa katika shule za msingi na sekondari huku  akiwasisitiza waheshimiwa Madiwani kuwahamasisha wananchi katika kata zao kujiunga na Mfuko wa bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa(iCHF) ili wananchi waweze kupata matibabu yaliyo bora na yenye gharama nafuu.

Aidha Mhe.Magope ametumia fursa hiyo kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kuendelea kuwasimamia watumishi kwa usawa na ukaribu na kupelekea wananchi kupata huduma bora na stahiki huku akitoa rai kwa watumishi ambao bado wanafanya kazi kwa mazoea kuacha mara moja badala yake wachape kazi ili Halmshauri hiyo izidi kusonga mbele.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Mhe.John Palingo amesisitiza suala la ukusanyaji mapato ikiwemo watendaji kuwasimamia vyema wakusanya mapato kwa kuwa fedha hizo ni muhimu katika kuendesha shughuli za maendeleo.

Nae Mkurugenzi Mtendaji(W) Selemani Pandawe amewasisitiza watumishi kushirikiana katika kutimiza adhima ya kutoa huduma bora na stahiki kwa jamii.

Katika Mwaka wa fedha 2020/2021 Halmashauri ililenga kukusanya kiasi cha Sh.Bilioni 3.02 na kufikia mwezi Juni 2021  Halmashauri imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh.Bilioni 2.4 sawa na asilimia 81.54 ya makusanyo yote ya lengo la mwaka mzima, fedha ambazo zitasaidia kutekeleza miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa