• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA REDIO JAMII (SIKONGE FM) KWA SHILINGI 190,455,100/= ZINAZOTOKANA NA MAPATO YA NDANI Na, Edigar Nkilabo – SikongeDC Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekamilisha mradi wa ujenzi wa Kituo cha

Imewekwa: January 29th, 2026

HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA REDIO JAMII (SIKONGE FM) KWA SHILINGI 190,455,100/= ZINAZOTOKANA NA MAPATO YA NDANI

 

Na, Edigar Nkilabo – SikongeDC

Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekamilisha mradi wa ujenzi wa Kituo cha Redio chenye masafa ya 98.9 Sikonge FM – Sauti ya Nyuki kwa fedha zinazotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri lengo ikiwa ni kuwahabarisha , kuwaelimisha na kuwaburudisha Wananchi wa Wilaya ya Sikonge na maeneo ya jirani.

Akizungumza katika Kituo hicho kilichopo kata ya Sikonge, wakati wa Ziara ya Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango (FUM), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg.Selemani Pandawe amesema Halmashauri imetumia zaidi ya shilingi milioni 190 kwaajili ya mradi wa kituo hicho ili kuhakikisha kila Mwananchi anapata habari ya masuala ya maendeleo yanayotekelezwa na serikali pamoja na taarifa mbalimbali za fursa za kiuchumi.

Aidha Pandawe amesema mradi huo umeanza kwa usikivu unaofikia umbali wa Kilomita 120 lakini kwa siku za mbeleni Halmashauri itaongeza umbali wa usikivu na kuwafikia watu wa tarafa ya Kiwere ambao kwasasa hawaipati redio hiyo.

“Kutokana na Jiografia yetu ya Sikonge eneo ni kubwa kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kuna umbali mrefu hivyo tunaamini kupitia matangazo mbashara ya redio Wananchi wetu watapata taarifa kwa haraka na elimu ya masuala ya kijamii,kiraia na kiuchumi itawafikia haraka na kuwaongezea uelewa wa kampeni mbalimbali za serikali katika nyanja zote ”alisema Ndugu Selemani Pandawe.

Naye Mjumbe wa FUM, Mhe.Christina Singiwa amesisitiza kuongezwa kwa masafa ya usikivu wa matangazo ya redio ili isiishie kusikika tarafa ya Sikonge bali hadi tarafa ya Kiwere Wananchi wanaoishi kata za Kitunda,Kiloli,Kilumbi na Kipili waweze kuyapata mawimbi ya redio Sikonge.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa Kamati ya FUM, Mhe.Gastor Rwambano amesema kamati yake imeridhishwa na mradi huo na kuwataka wasimamizi wa mradi kukamilisha kwa haraka matengenezo madogo madogo  yaliyosalia ili kituo hicho kianze kufanya kazi na kuwahudumia Wananchi.

“Kwa niaba ya Kamati niseme tumefurahi na tumeridhishwa na maendeleo ya mradi huu lakini tunaelekeza marekebisho yaliyosalia yafanyike kwa haraka ili wenye Mamlaka (TCRA) waje kukagua kituo chetu waturuhusu ili tuanze kupasua anga “alisema Mhe.Gastor Rwambano.

Kamati hiyo imetoa wito kwa Wasimamizi wa Kituo hicho na Wataalam kuchakata gharama za huduma ya matangazo kwa kuzingatia ukubwa wa bidhaa husika au jambo lenyewe linalotakiwa kutangazwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATOTO WA UMRI WA MIAKA 5 HADI 14 WILAYANI SIKONGE WAMEZESHWA DAWA KINGATIBA

    February 04, 2026
  • WALIMU WAJENGEWA UWEZO KUHUSU UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    February 04, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA REDIO JAMII (SIKONGE FM) KWA SHILINGI 190,455,100/= ZINAZOTOKANA NA MAPATO YA NDANI Na, Edigar Nkilabo – SikongeDC Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imekamilisha mradi wa ujenzi wa Kituo cha

    January 29, 2026
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO (FUM) HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPONGEZA KASI NA UBORA WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa

  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • yamitoto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • axl777
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • dora77
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • situs toto
  • yamitoto
  • nabitoto
  • nabitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • axl777
  • situs toto
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • >
  • situs toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77