• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

HALMASHAURI KUU CCM WILAYA YA SIKONGE YAAHIDI KUSIMAMIA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI.

Imewekwa: December 23rd, 2021


HALMASHAURI KUU CCM WILAYA YA SIKONGE YAAHIDI KUSIMAMIA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI.

Halmashauri  kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)  Wilaya ya Sikonge imefanya kikao na  kujadili taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi(2020-2025)  ya Chama hicho kwa kipindi cha  mwezi Julai hadi Juni 2021.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo amesema hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo  inaendelea.

"Kwa niaba ya wananchi wa Wilaya ya Sikonge napenda kutoa pongezi za dhati kwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan...kwani Serikali hii imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja..tunajivunia ujenzi wa Barabara ya lami inayoendelea kujengwa kutoka Tabora kwenda Mpanda kupitia Sikonge, ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, ujenzi wa vituo vya Afya na Zahanati, ujenzi wa madarasa,matundu ya vyoo, na miradi ya Maji inayotekelezwa katika Wilaya yetu.Tunaahidi  kushirikiana na Serikali kulinda Amani na usalama wa nchi sambamba na kufanya kazi kwa bidii" DC Palingo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Sikonge Mhe.Anna Chambala amesema wataendelea kusimamia na kufatilia kila fedha inayotolewa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ili kuhakikisha ahadi  walizoahidi zinatimia.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • PIKIPIKI 10 ZENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 35 ZAKABIDHIWA KWA WATENDAJI WA VIJIJI

    September 03, 2025
  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa