• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

HAFLA YA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UENDESHAJI WA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA NA KUFUNGASHA MAZAO YA NYUKI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE NA MWEKEZAJI NGONDE TRADERS.

Imewekwa: February 9th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha leo ameshuhudia hafla fupi ya utiaji Saini wa Mkataba wa uendeshaji wa Kiwanda cha Kati cha Kuchakata na kufungasha mazao ya Nyuki katika Ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge.

Mhe. Chacha amepongeza kwa hatua iliyofikiwa leo kwani italeta tija kwa wanasikonge pamoja na nchi nzima kwa ujumla. “Tunashukuru lakini pia tunamatarajio makubwa kwamba tutapata manufaa zaidi kutokana na uwekezaji huu” amenena DC Chacha.

Akitambulisha wataalam pamoja na wageni waalikwa katika hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe amesema baada ya Mwekezaji kushinda zabuni hivyo anao wajibu wakukamilisha taratibu za kisheria ikiwepo kusaini mkataba wauendeshaji wa kiwanda kama ilivyofanyika leo.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Rashid Magope akitoa salamu za Madiwani ameshukuru kufanyika kwa zoezi hilo la utiaji Saini kwani Kiwanda sasa kinakwenda kuleta faida nyingi kwa Wananchi wa Sikonge ikiwemo mapato kwa Halmashauri,Soko la uhakika kwa Wafugaji wa nyuki pamoja na ajira kwa vijana.

Aidha Ndg. Anthony Mwakipesile ambaye ndiye Mwekezaji wa Kiwanda hicho kupitia kampuni yake ya Ngonde Traders ameishukuru Serikali na Halmashauri kwa kupata nafasi ya kuwekeza katika kiwanda hicho ikizingatiwa kuwa watu wengi wamezoea kuona wawekezaji wasio wazawa ndio wanaopewa kipaumbele katika eneo la uwekezaji hivyo anaishukuru sana serikali kwa kuwajali wawekezaji wazawa wa nchi hii.

Zoezi hilo limeshuhudiwa pia na Wadau mbalimbali katika sekta ya biashara ya mazao ya nyuki,Benki ya CRDB pamoja na viongozi wa Chama na Serikali.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa