• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

GARI LA WAZIRI LATUMIKA KUNASUA LORI

Imewekwa: January 4th, 2019

GARI LA WAZIRI LATUMIKA KUNASUA LORI.

Gari la  Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji  Mhe. Joseph Kakunda  latumika kunasua lori lililokuwa limekwama kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Sikonge.

Katika Ziara hiyo Mhe. Kakunda pia aliambatana na mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe. Peres Mgiri, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila pamoja na wataalamu kutoka Halmashauri ya Sikonge.

Waziri Kakunda alisimamisha msafara wakati akielekea katika kijiji cha Makibo kata ya Nyahua ili watoe msaada wa kulinasua lori lililokuwa limenasa kwenye tope kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Wilaya Sikonge  kwa kutumia Gari lake. Alisema ‘’serikali ya awamu ya tano ipo kwa ajili ya wanachi wote hivyo basi hakuna kuendelea na msafara mpaka msaada utolewe na lori linasuliwe”

Gari la Mhe.waziri likivuta lori lililokwama katika mbuga ya Nyahua Wilayani Sikonge.

Dereva na watu waliokuwa ndani ya lori hilo walimpongeza Mhe. Kakunda kwa moyo huo na kustahajibu kwani walikuwa wanafikra kuwa waziri hawezi kushirikiana na wananchi wa hali ya chini, lakini kakunda ameshiriki kwa kutoa gari lake litumike kunasua lori huku yeye pia akishiriki kukata miti iliyoziba barabara na viongozi wengine akiwemo mkuu wa wilaya wakisukuma gari lililonasa.

Katika ziara yake ya siku tatu wilayani Sikonge Mhe. Waziri pia alikagua miradi mbali mbali ikiwemo ujenzi wa shule ya sekondari pamoja na barabara vilevile na uwekezaji wa kiwanda cha kuchata mazao ya alizeti kilichopo kata ya kiloleli  kinachomilikiwa na bwana Sambarya ambacho kimekuwa kikitoa ajira zaidi ya 200. Ambapo ameagiza TIDO na SIDO  kuja kiwandani hapo na kufanya utafiti ili waweze kuusaidia uwekezaji  huo.

Pia alipata nafasi ya kuzungumza na wananchi na kusikiliza changamoto mbalimbali za wananchi zinazowakwamisha kufikia uchumi wa Viwanda.  Ambapo kwa kushirikiana na serikali ya wilaya ya Sikonge wamehaidi kuyashugulikia yale yote yaliyo ndani ya uwezo wao na mengine Mhe. Kakunda amehaidi kuyafikisha panapohusika huku akiendelea kusisitiza agizo la kufanya kazi kwa bidii.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa