• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC,DED MWENYEKITI WA HALMASHAURI NA WATAALAM SIKONGE WAFANYA ZIARA MANISPAA YA KAHAMA.

Imewekwa: May 27th, 2022


DC,DED MWENYEKITI WA HALMASHAURI NA WATAALAM  SIKONGE WAFANYA ZIARA MANISPAA YA KAHAMA.


Na.Anna Kapama


Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Seleman Pandawe , Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe.Rashid Magope  na wataalam mbalimbali wamefanya ziara ya kikazi Halmashauri ya Manispaa ya Kahama kwa lengo la kuona na kujifunza namna Manispaa ya Kahama  inaendesha na kutekeleza Shughuli za Maendeleo ikiwemo uwekezaji na kuwawezesha wananchi kiuchumi .


Katika ziara hiyo ya Siku mbili  Viongozi hao wamepata nafasi ya kutembelea Miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Manispaa hiyo  ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa Jengo la Ofisi za Manispaa , fursa za Kiuchumi,  Uwekezaji , sambamba na kujifunza Mikakati na Mbinu  za ukusanyaji wa Mapato ambavyo kwa pamoja Manispaa ya Kahama inafanya vizuri.


Ziara hiyo inatarajiwa kuleta tija katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kwa kuwa Rasilimali mbalimbali za kufanikisha zipo.

"Kwa ujuzi tulioupata hapa, tutaenda kuutumia kwa ajili ya kuiletea Maendeleo Wilaya yetu"DC Palingo.


Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe.Rashid Magope  amesema kupitia ziara hiyo atakuwa Balozi kwa Waheshimiwa madiwani katika kuwaeleza Mikakati na Mbinu zilizotumiwa na Manispaa ya Kahama ili waweze kuzitumia kuwaletea wananchi Maendeleo


Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg.Seleman Pandawe ameongeza kuwa kupitia ziara hiyo amejifujza Mikakati na Mbinu Bora za kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi na mengine mengi ambayo yakitekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge itapiga hatua za kinaendeleo .


Kwa Upande wake Mkurugenzi  Mtendaji wa Manispaa ya Kahama  Underson Msumba amesema njia moja wapo iliyowafikisha katika Maendeleo  waliyonayo sasa ni kutumia fursa na Rasilimali zilizopo ikiwemo kuwawezesha wananchi kiuchumi na kupanga Mikakati madhubuti ya kuzitumia kwa manufaa ya wananchi pamoja Ushirikiano wa  Viongozi na watendaji.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa