• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC PALINGO AWATAKA WANANCHI SIKONGE KUTOWAKUMBATIA WAHALIFU, ATOA ONYO KWA WANAOJICHUKULIA SHERIA MKONONI.

Imewekwa: October 31st, 2022

Sikonge_Tabora


Na.Anna Kapama


Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.John Palingo amefanya Mkutano na Wananchi wa Kijiji Cha Kasandalala Kata ya Igigwa na kuzungumza nao maswala mbalimbali ikiwemo kuwasisitiza wananchi hao kutoa taarifa za viashiria vya uhalifu sambamba na kutoa Ushirikiano pale matukio ya uvunjifu wa amani na Usalama yanapotokea yakiwemo mauaji ya raia.


"Kama tunataka tukomeshe matukio ya uhalifu Sikonge ni lazima wananchi tutoe taarifa za watu hao kama tunawajua ili waweze kutiwa hatiani na kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria" DC PALINGO.


Aidha, amewasisitiza wananchi na Mgambo kutojichukulia sheria Mkononi wanapowakamata washukiwa wa uhalifu kwani kwa kufanya hivyo ni makosa kisheria badala yake wawapeleke kwenye mamlaka husika ambayo ni Kituo Cha Polisi .


"Watendaji, wahalifu wanapoletwa kwenu badala ya kuwapeleka Kituo Cha Polisi mnawapelekea Sungusungu, hilo ni kosa na kosa hilo lisijirudie tena" DC Palingo amesisitiza.


Kwa Upande wake Mkuu wa Polisi Wilaya ya Sikonge SSP.Zacharia Bura amewahakikishia usalama wa kutosha wananchi na kuwasihi kuendelea na shughuli zao za Uzalishaji huku akiwataka kutojihusisha na matukio ya uvunjifu wa amani na usalama, na kuongeza kuwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Sikonge linaendelea kuwashughulikia wote wanaoshukiwa kufanya matukio ya kihalifu.


Kwa Upande wao Vijana wa Kata hiyo wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuwapatia Mafunzo ya Mgambo ili kuweza kupata Elimu ya ulinzi na usalama Hatimaye kuimarisha ulinzi katika maeneo yao swala ambalo Mkuu wa Wilaya amewaahidi kulifanyia kazi na Mapema mwaka ujao Maafisa wa Jeshi la akiba watatoa mafunzo hayo.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA MTEULE WA WILAYA YA SIKONGE MHE.THOMAS MYINGA ALA KIAPO KUANZA KAZI RASMI AKIRITHI MIKOBA YA MTANGULIZI WAKE MHE.CORNEL MAGEMBE

    July 02, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa