• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC. MAGEMBE AKAGUA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA MWAMAYUNGA SIKONGE.

Imewekwa: April 30th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe. Cornel Magembe ametembelea ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Mwamayunga.Katika ziara hiyo Mhe. Magembe ameambatana na kamati ya Usalama wilaya,Wakuu wa taasisi pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge.

Akitoa taarifa ya maendeleo ya mradi,Meneja wa RUWASA-Sikonge ,Mhandisi Fikiri Samadi amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 70% ya utekelezaji na mradi utakapokamilika utakwenda kuhudumia wakazi 9,437 wa vijiji vya Mwamayunga,Isanjandugu,Usunga na Urafiki.

Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za PforR,unaogharimu kiasi cha shilingi bilioni 2.8 na mpaka sasa jumla ya shilingi bilioni 1.5 zimekwisha tumika katika mradi huo na kiasi cha shilingi bilioni 1.3 zimebakia kwa ajili ya kukamilisha asilimia 30% ya kazi zilizobakia.

Aidha mradi huu unahusisha uchimbaji wa mitaro na kulaza mabomba kwa umbali wa kilomita 33.2 kuvifikia vijiji vinavyokwenda kunufaika na mradi huu,ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita za ujazo 300M3,ujenzi wa vituo 19 vya kuchotea maji,ujenzi wa ofisi moja ya jumuiya ya watumiaji maji ngazi ya jamii,ujenzi wa nyumba moja ya mitambo pamoja na ujenzi wa nyumba ya muendesha mitambo.

Mhe. Magembe amemwagiza mkandarasi wa mradi huo PALEMON CONSTRUCTION CO. LTD kufanya kazi kwa bidii na kwa haraka ili mradi ukamilike kwa wakati na kuanza kuwahudumia wananchi wa wa kijiji cha Mwamayunga. “Sisi tukupe mpaka tarehe 30/05/2024 uwe umekamilisha mradi huu,Meneja simamia kazi ifanyike kwa kiwango sio kwa kulipua.”amesema Mhe. Magembe.

Mradi huu utakapo kamilika utakwenda kusaidia upatikanaji wa huduma endelevu ya maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji Mwamayunga,kupunguza magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa maji  safi na salama pamoja na kuwapunguzia adha ya kutafuta maji kwa umbali mrefu  hivyo kuwaongezea muda wa kufanya shughuli zingine za kiuchumi.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa