• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC CHACHA AZURU ISONGWA KUONA ATHARI ZA MAAFA YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA WILAYANI SIKONGE

Imewekwa: March 5th, 2024

Na. Robert Magaka – Isongwa ,Sikonge – Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha ametembelea kijiji cha Isongwa kulichopo Kata ya Mkolye kuwapa pole na kuzungumza na wananchi wa kijiji hicho waliokumbwa na maafa ya kukosa makazi ya kuishi baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Sikonge.

Katika ziara hiyo Mhe. Chacha ameambata na Katibu Tawala Wilaya ya Sikonge Ndg. Andrea Ngh’wani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe,Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Bi. Susana Makoye,Diwani Kata ya Mkolye Mhe. Omar Kategile pamoja na viongozi waandamizi wa kata hiyo.

Jumla ya nyumba 64 zimebomoka na kusababisha zaidi ya kaya 30 kukosa makazi ya kuishi katika kijiji hicho.Hata hivyo Mhe. Chacha ameahidi kuwapelekea misaada ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na Mahema ya kujisitiri na kuwatuma wataalam wa afya kutoa huduma za msingi za afya kwa waathirika wa maafa hayo.Kwa sasa wananchi hao waliokosa sehemu ya kuishi wanaishi kwa muda katika majengo ya Shule ya Msingi Isongwa.

Aidha Mhe. Chacha amewasihi kuzingatia maagizo ya Serikali hasa suala la uandikishaji wa watoto waliofikia umri wa kuanza shule kwani imebainika wananchi wa kijiji cha Isongwa kuwa na idadi ndogo kabisa ya uandikishaji mbali na kuwa Taarifa ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha kijiji hicho kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko vijiji vyote katika kata hiyo na wengi wa watu hao ni watoto wa umri wa kwenda shule pamoja  vijana.

Mbali na maafa hayo kuwepo hakuna madhara ya vifo wala majeruhi yaliyojitokeza.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa