• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC CHACHA AZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA SURUA RUBELLA KATIKA HOSPITALI YA MISHENI SIKONGE.

Imewekwa: February 16th, 2024

Na. Robert Magaka – Sikonge.

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha amezindua zoezi la utoaji wa chanjo ya Surua Rubella katika Hospitali ya Misheni iliyopo kata ya Misheni Wilayani Sikonge.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mhe. Chacha ametoa wito kwa wazazi na walezi kuitikia wito wa Serikali wa kuwapeleka Watoto wenye miezi 9 hadi miezi 59 kupata chanjo ya surua rubella katika vituo vya afya vilivyokaribu nao.

 “Nawashukuru wazazi mliofika hapa natumaini mtakwenda kuhamasisha wazazi wengine kuwapeleka Watoto wao kupata chanjo ya surua rubella.Tafiti zimethibitisha kuwa Chanjo imeweza kuzuia vifo vya watu milioni 3 kila mwaka,kwa mfano kupitia chanjo tumeweza kutokomeza kabisa ugonjwa wa pepopunda,Ndui na Ugonjwa wa kupooza (Polio).” Amesema Mhe. Chacha.

Akitoa Salamu za Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mkuu wa Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Dkt. Christopher Nyalu amesema katika zoezi hili Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imelenga kuchanja watoto 4,3281.

Naye Mwakilishi toka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi. Nyabawela Ester Mahuyu amesema lengo la nchi ni kufikia Watoto 8,908,810 na Lengo la Mkoa  ni kufikia Watoto 544,616 ili kupambana na ugonjwa wa surua rubella kwa ufanisi wananchi wanapaswa kuitikia wito wa Serikali kwa kuwapeleka Watoto katika vituo vya afya vilivyopo karibu ili wapatiwe chanjo.

Zoezi hilo limezinduliwa kwa Mhe. Mkuu wa Wilaya kukata utepe na kushuhudia zoezi halisi kwa Watoto kupatiwa chanjo ya surua rubella,zoezi hili linaendelea katika maeneo yote vilipo vituo vya afya na zahanati na maeneo mengine yalitengwa mahususi kwa ajili ya zoezi hili.

Tanzania bila Surua inawezekana! Onesha Upendo Peleka Mtoto akapate Chanjo.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa