• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

CCM YAJITOSA KWENYE ELIMU

Imewekwa: April 3rd, 2019

CCM YAJITOSA KWENYE ELIMU.

WAZAZI  wahimizwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao mashuleni ili kubaini matatizo yanayowakabili watoto wao katika kufanya vizuri kwenye masomo.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilayani Sikonge Bi. Anna Chambala alipokuwa kwenye sherehe za jumuhiya ya wazazi ya CCM ambapo kiwilaya ilifanyika Kata ya Chabutwa.

Katika sherehe hizo ambazo kwa mwaka huu zilibeba kauli mbiu iliyolenga kutoa elimu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utafanyika kitaifa hapo mwishoni mwa mwaka 2019  ilisema kuwa  “ Elimu, malezi na Maadili ni msingi wa uongozi bora hivyo mwaka huu wa 2019 tuchague viongozi bora na si bora viongozi”

Bi. Chambala alisema kuwa ni jukumu la wazazi wa CCM kusimamia maadili ya watoto ikiwemo Elimu na  utendaji kazi kwani ni miongoni mwa misingi inayosimamiwa na Chama Cha Mapinduzi kuhakikisha jamii inakuwa na vijana wenye maadili na weledi mzuri.

Aliongeza kuwa kitendo cha baadhi ya wazazi kutoshirikiana na walimu ili kuwabaini watoto watukutu kinapelekea watoto hao kujiingiza katika ajira mbaya. Alizitaja baadhi ya ajira hizo kuwa ni watoto kufanyishwa kazi za uyaya tofauti na umri wao, huku baadhi ya watoto wa kiume wakitumikishwa katika mashamba ya Tumbaku tena jambo hili likiungwa mkono na Wazazi husika huku jamii ikilifumbia macho. Ambapo alionya kuwa wao kama jumuiya ya wazazi ya CCM hawatalifumbia macho hata kidogo swala hilo.

Akionesha kuchoshwa na matokeo mabovu ya elimu WIlayani humo Mwenyekiti huyo alipiga marufuku kwa viongozi wote wanokaa maofisini tu bila kuingia katika jamii kufuatilia swala zima la elimu linavyoenda ili kujua namna wanavyoweza kusaidi kuinua kiwango cha Elimu Wilayani Sikonge. hivyo basi ni jukumu la kila mmoja moja kubadilika ili kutimiza wajibu wake utakaoleta matokeo chanya yenye maendeleo.

Mwenyekiti wa CCM Sikonge Bi. Anna Chambala akitoa msaada wa Sabuni kwa wazee wiki ya wazazi.

Viongozi mbalimbali Wilayani umo walipata wasaa wa kutoa maoni yao akiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila ambaye aliwahasa vijana kutumia fulsa ya barabara inyojengwa kutokea Tabora kuelekea Mpanga ikipitia Sikonge iwawezeshe kujikwamua kiuchumi na kuwa sehemu ya Kihistoria kuelekea mafanikio yao kwani wanaweza kuitumia kufanya biashara ndogondogo kama wafanyavyo vijana wa Chalinze Pwani.

Sherehe hizo pia ziliambatana na kupanda miti ikiwa ni miongoni mwa utunzaji Mazingira pamoja na kutoa misaada kwa wazee ambapo katoni mbili za sabuni zilitolewa kwa wazee kata ya Chabutwa ikiwa ni shukurani kwa ajili ya malezi yao mazuri yaliyopelekea kuwapata viongozi bora ambao wanatokea CCM.  

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa