• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

BARAZA MAALUM LA WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE LAIDHINISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 40.4 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

Imewekwa: February 17th, 2024

Baraza hilo lililoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Rashid Magope limeridhia mapendekezo ya bajeti ya zaidi ya Tsh. Bilioni 40 kwa ajili ya Kwenda kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge.

Akichangia hoja ya stahiki za waheshimiwa madiwani kutofautiana kati ya Manispaa ya Tabora na Sikonge Msimamizi wa Fedha Mkoa wa Tabora Bi. Shani Mangesho amesema posho na stahiki za waheshimiwa madiwani zipo kisheria na hazitofautiani kwani zinatokana na Muongozo uliopo na iwapo waheshimiwa watalipwa bila kuzingatia nyaraka na miongozo wanaweza kusababisha hoja kwa Mkaguzi wa Mkuu wa Hesabu za Serikali. “Mheshimiwa Mwenyekiti naomba niseme wazi kwamba Serikali yetu inaongozwa na waraka na miongozo.Na kama tutakwenda nje ya muongozo tunafanya kazi kinyume cha utaratibu na Mkaguzi ana haki ya kutuhoji kwanini hatukufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo.” Amesema Bi. Mangesho.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe wakati akichangia hoja katika baraza hilo amewashukuru wajumbe kwa michango yao mizuri na ameahidi ushauri wao utazingatiwa vema katika utekelezaji wa bajeti hiyo ya  mwaka wa fedha 2024/2025.

Akifunga baraza hilo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Rashid Magope amewashukuru wajumbe kwa michango yao mizuri na yenye tija kwa Halmashauri hususani kwa kuridhia mapendekezo ya bajeti ambayo itakwenda kuwahudumia wananchi na kutatua chanagamoto mbalimbali za miundo mbinu na miradi mingine ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa