• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

BARAZA LA WAFANYAKAZI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE LAPATA VIONGOZI WAPYA

Imewekwa: January 24th, 2025

Na, Edigar Nkilabo.

 

Baraza la Wafanyakazi Halmashauri ya wilaya ya Sikonge limepitia na kupitisha mapendekezo ya Katibu na Katibu msaidizi na kupiga kura za kuwathibitisha viongozi hao wapya ambao watahudumu kwa kipindi cha miaka mitatu katika baraza hilo.

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi cha kuzindua mkataba wa Baraza la wafanyakazi Mwenyekiti wa Baraza hilo Seleman Pandawe amewataka viongozi waliopitishwa kuendeleza utamaduni wa kusimamia miiko na maadili ya wafanyakazi ili kuepusha migogoro na mizengwe mahali pakazi.

“Mmeaminiwa mmepata hii nafasi muende mkasimamie maadili ya wafanyakazi na kuwasikiliza ili mahali pa kazi pawe salama kila mfanyakazi afurahie mazingira ya kazi na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kama serikal inavyokusudia”amesema.

Afisa Kazi mkoa wa Tabora Muhenga Richard amesema vyama vya wafanyakazi vilianzishwa kwa lengo la kufikisha changamoto za watumishi na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi ili wafanyakazi watimize wajibu wao katika mazingira mazuri na kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora.

Kwa upande wake Katibu wa Baraza la wafanyakazi Halmashauri ya wilaya ya Sikonge Richard Msimu amewashukuru wajumbe wa Baraza hilo kwa kumpa ridhaa yeye na Katibu msaidizi Mary Ruley na kuahidi kuwa watatekeleza wajibu wao kwa kuzingatia maoni na matakwa ya baraza la wafanyakazi.

“Tunashukuru kwa kutuchagua ninawahakikishia tutafanya kazi kwa karibu nanyi kwa kuzingatia maoni na ushauri wenu ili tusonge mbele kwa pamoja” Richard Msimu.

Sambamba na kuchagua viongozi wapya Baraza hilo limepitia mapendekezo ya makisio ya Bajeti ya mwaka 2025/2026,Mwenyekiti wa Baraza hilo Seleman Pandawe amewasisitiza wafanyakazi wote kwenda kusimamia ukusanyaji wa mapato kidijitali ili kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa