• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI SIKONGE LAFANYA ZIARA KATAVI KUJIFUNZA BIASHARA YA HEWA UKAA.

Imewekwa: December 22nd, 2022


Sikonge_Tabora


Na.Anna Kapama


Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge wamefanya ziara  Mkoani Katavi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa ajili ya kujifunza usimamizi shirikishi wa Misitu na uuzaji wa hewa ya Ukaa ambayo ni chanzo kikubwa Cha Mapato katika Halmashauri hiyo.


Awali akiwakaribisha Madiwani na Wataalamu waliohudhuria Mafunzo hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mhe.Hamad Mapengo  amesema kupitia uuzaji wa hewa ya Ukaa Halmashauri imekusanya Mapato kufikia Tsh.Bilioni 4.2 katika Vijiji 8 vya Halmashauri hiyo kwa Mwaka wa Fedha  2021/2022 baada ya Kuhifadhi Misitu na kuzuia ukataji Miti katika maeneo yao.


Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. John Palingo amesema Wilaya hiyo inafanana kijiografia na Wilaya ya Tanganyika hasa katika Misitu hivyo mafunzo hayo yataleta tija katika kuanzisha mradi huo kwa kuwa tayari Misitu ipo .


"Tuna Hifadhi ya  Misitu 5 inayomilikiwa na  Halmashauri na Misitu 4 inamilikiwa na TFS ambapo ambapo Jumla tuna Misitu 9 hivyo naamini tukijifunza na kutekeleza tutaongeza Mapato katika Halmashauri yetu lakini pia kutunza Mazingira " DC Palingo.


Mkuu wa Kitengo Cha Maliasili na Uhifadhi Misitu Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bruno Nicholaus amesema Biashara ya  Hewa ya Ukaa inahusisha wamiliki  wa Viwanda Duniani ambavyo vinachangia kuchafua Mazingira hutoa  fedha kwa maeneo yanayohifadhi na kutunza  Misitu, Vyanzo vya Maji na Viumbe vilivyo hatarini kutoweka ili hewa chafu inayozalishwa na Viwanda hivyo iweze kufyonzwa na Misitu inayohifadhiwa ambapo Taasisi ya CARBON Tanzania inatekeleza mradi huo kwa kushirikiana na Halmashauri.


#ZIARA INAENDELEA

#kaziendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa