• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA TSH.BILIONI 40.7 MPANGO WA BAJETI MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

Imewekwa: January 30th, 2023

Sikonge_Tabora

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge limepitisha makisio ya Mpango wa Bajeti Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 ambapo TSH.Bilioni 29.4 ni Ruzuku ya Mishahara ya watumishi, Bilioni 3.67 ni Mapato ya Ndani, TSH.Bilioni 6.8 Miradi ya Maendeleo na , Millioni 729.4 Ruzuku ya matumizi ya kawaida.


Awali akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Rashid Magope amesema bajeti imepanda Kwa 30% ikilinganishwa na na Bajeti ya Mwaka WA Fedha 2022/2023 na kuongeza kuwa bajeti hiyo imejielekeza kutekeleza vipaumbele katika kuimarisha miundombinu ya Elimu, Afya, Kilimo,na Mifugo sambamba na kutoa Mikopo Kwa Vikundi vya wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu vyenye mwelekeo wa Ujenzi wa Viwanda Vidogovidogo na ukamilishaji wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Halmashauri.


Kwa Upande wao baadhi ya madiwani waliopitisha bajeti hiyo wamesema itakuwa mkombozi katika kufanikisha utekelezaji wa mipango ya Maendeleo yaliyokusudiwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 


"Bajeti ni nzuri ambayo Ndani yake imegusa sehemu nyingi katika Miradi ya Maendeleo ikiwemo kumalizia Miradi iliyoanzishwa Kwa Nguvu za wananchi, 10% ya Mapato ya Ndani itagawiwa Kwa Vikundi vilivyotajwa vya Wananchi hivyo ni bajeti ambayo inaenda kuleta neema kubwa Kwa wananchi wa Wilaya ya Sikonge" Mhe.Gasto Lwambano Diwani kata ya Kiloleli


"Bajeti ya Leo tuneipitisha Sisi madiwani kilichobaki ni utekelezaji tutashirikiana na wataalamu Kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo" Mhe. Josephine Aron Diwani kata ya Pangale.


Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya hutoa Mwongozo wa Makusudio na mtazamo wa Halmashauri katika kutekeleza majukumu yake ya Muda mfupi, Muda wa Kati na Muda mrefu , ugawaji wa Raslimali , Mapato na matumizi pamoja na usimamizi wa Mikakati na mipango katika kuleta Maendeleo Kwa Jamii.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa