• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

ALAT YA CHANGIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA SIKONGE

Imewekwa: December 1st, 2018

ALAT YA CHANGIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA  SIKONGE

Wajumbe wa ALAT mkoa wa Tabora wavutiwa na gharama ndogo zilizotumika katika mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya shule ya msingi Mbirani wilayani Sikonge.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa ALAT, Mhe. Adam Malunkwi walipokuwa katika ziara ya kukagua miradi mbalimbli ya maendeleo wilayani Sikonge siku ya tarehe 30 Novemba 2018,  hivyo kuchangia kiasi cha milioni mbili (2000,000.00)  ili kuunga mkono mradi huo. Mwenyekiti alizungumza kuwa pesa hizo zitumike kukamilisha angalau chumba kimoja cha darasa ili kianze kutumika.

akisoma taarifa fupi ya ujenzi  mwalimu mkuu wa shule ya msingi mbirani. Ndg. Simoni Emmanuel alisema mradi huo wa ujenzi wa vyumba vinne (4) vya madarasa na ofisi moja (1) ya walimu umegharimu kiasi cha sh. 29,591,250 Mpaka sasa. Fedha ambazo zimepatikana katika mfuko wa jimbo, nguvu ya wananchi, programu ya lipa kwa matokeo (P4R) na mapato ya ndani ya Halmashauri.

HABARI PICHA:

Mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa na ofisi katika shule ya msingi Mbirani.

Ndg. Emannuel aliongeza kuwa hadi kukamilika kwa mradi huo zinakisiwa kugharimu  jumla ya shilingi 27,704,400.00. hii ikiwa ni jumla ya shilingi milioni 57,295,650.00 ambazo zilihitajika.

Katika ziara hiyo ambayo iliongozwa na mwenyekiti wa ALAT  mkoa  Alisema kuwa anatoa pongezi za pekee kwa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kwa jitihada zao kwenye sekta ya elimu. Pia kwa kubana matumizi ambapo wameweza kujenda boma la vyumba vinne vya madarasa na ofisi moja ya walimu  kwa gharama ndogo.

Wakiambatana na wenyeji wao wakiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Bi. Martha Luleka pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge mhe. Peter nzalalila walizipokea shukurani hizo na kuahidi kutumia pesa zilizotolewa ili kukamilisha ujenzi wa chumba kimojawapo cha darasa jambo litakalo saidia kupunguza msongamano wa wanafunzi.

Wajumbe wa ALAT walitoa msisitizo kwa  Halmashauri zingine juu ya kuwa na nidhaamu katika fedha na kuitolea mfano Halmashauri ya Sikonge kupitia mradi huo,  kwani kwa kufanya hivyo kunaunga jitihada za Mhe. Raisi Dkt John Pombe Magufuli katika kubana matumizi na kipaumbele chake katika sekta ya elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa