• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

TANGAZO LA KAZI SIKONGE

09 May 2019

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII (WAJA)
Shirika la CARE INTERNATIONAL  TANZANIA, kupitia mradi wake wa TAMANI, linapenda kuwatangazia wakazi wote wa wilaya ya Sikonge wenye sifa za kuomba nafasi ya Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii (WAJA). Mhudumu wa afya katika jamii ni mmoja kati ya wanajamii ambaye kazi yake ni kusaidia katika kuboresha afya ya jamii kwa kushirikiana na mfumo wa utoaji huduma za afya au wakala wa afya ya jamii na jamii wanazopatikana.

MUOMBAJI AWE NA SIFA ZIFUATAZO:

  1. Awe anakubalika na serikali ya kijiji na kijiji kizima kwa ujumla.
  2. Achaguliwe na jamii husika.
  3. Awe anajua kusoma na kuandika
  4. Awe tayari kujitolea katika nafasi hii ya uhudumu wa jamii.
  5. Awe mkazi wa eneo husika kwa kipindi kisichopungua miaka mitano
  6. Awe na umri wa miaka 18  55
  7. Mwenye uwezo wa kutunza siri za mteja na kutowahukumu wengine
  8. Awe na tabia njema na wa mfano wa kuigwa
  9. Kiwango cha elimu ni kidato cha nne.
  10. Asiwe anafanya kazi na mradi mwingine

Shughuli nzima ya kuwapata WAJA itafanyika kupitia mkutano mkuu wa kijiji/Mtaa/kata kwa tarehe zitakazopangwa. Baada ya WAJA kupatikana watapatiwa mafunzo ya wiki tatu ili kuwawezesha kufanya majukumu yao kwa ufanisi.

Kumbuka: Wasichana wanahamasishwa zaidi kuomba nafasi hii

Barua zote za maombi ziambatanishwe na nakala ya cheti cha kidato cha nne. Maombi yote yatumwe kwenye ofisi ya serikali ya kijiji/mtaa husika.

Kwa mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo:

0758 908449 Meneja Mradi wa TAMANI

Wilaya ya Sikonge.                                                

Mwisho wa Maombi: 19/05/2019

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • VIJIJI 16 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI

    June 06, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa