Friday 29th, March 2024
@KATA YA SIKONGE, UWANJA MPYA WA MPIRA TASAF
Maadhimisho ya sherehe za MEI MOSI 2018 Wilayani Sikonge yamefanyika katika Kata ya Sikonge eneo la kiwanja kipya cha mpira wa miguu karibu na soko la TASAF ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bwa. Peres Magiri.
Katika sherehe hizo, Mwaka huu Wilayani Sikonge zimeratibiwa na Chama cha Wafanyakazi TUGHE ambapo ni kawaida ya vyama hivi hapa Wilayani kubadilishana kila Mwaka katika kuratibu zoezi zima la sherehe.
Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC
Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora
Simu: 0767135460
Simu: 0767135460
Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz
Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa